Profesa Janabi asimulia alivyosimamia mitihani ya Dk Ndugulile

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi amesema anachokikumbuka kwa aliyekuwa mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Kanda ya Afrika, Dk Faustine Ndugulile ni jinsi alivyomsimamia mitihani miwili kwa nyakati tofauti. Hayo amebainisha alipojitokeza kuomboleza na kuhani msiba wa Dk Faustine Ndugulile nyumbani…

Read More

Rais Samia akutana Malaigwanani wa Ngorongoro, atangaza kuunda tume

Arusha.  Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametangaza uamuzi wa kuunda tume mbili ikiwamo itakayochunguza na kutoa mapendakezo kuhusu masuala ya ardhi yanayolalamikiwa na wakazi wa Ngorongoro. Nyingine itaangalia utekelezaji wa uhamaji kwa hiari kutoka eneo la Hifadhi ya Ngorongoro kwenda Msomera, wilayani Handeni, Mkoa wa Tanga. Rais Samia ametangaza uamuzi huo leo Jumapili, Desemba…

Read More

Ubunifu kiteknolojia unavyopunguza hasara katika kilimo

Ndoto ya kila mkulima ni kupata mazao mengi ili aingize fedha za kutosha, lakini wakati mwingine msimu wa mavuno, hasa kwa wakulima wa mbogamboga na matunda huacha majonzi. Majonzi hayo yanatokana na kukosa soko na wakati mwingine bei ndogo wanayokutana nayo sokoni na hofu ya kupoteza mali baada ya mazao kuharibikia shambani, ambayo humlazimu mkulima…

Read More

Serikali yawatwisha jukumu la ajira wathibiti ubora wa shule

Arusha. Ili kukabiliana na changamoto ya wahitimu wa elimu nchini kushindwa kupata ajira kutokana na ukosefu wa ujuzi, Serikali imewaagiza wathibiti ubora wa shule kuhakikisha utekelezaji wa mtalaa wa amali unafanyika ipasavyo. Mtalaa huo unalenga kuwajengea vijana ujuzi wa vitendo, ili waweze kushindana katika soko la ajira. Ripoti ya utafiti uliofanywa na Baraza la Vyuo…

Read More

Rais wa chama cha majaji na mahakimu Tanzania atoa kauli kuhusu TEHAMA ilivyoondoa rushwa

Majaji na Mahakimu zaidi ya mia tatu wanaotarajiwa kukutana mkoani Arusha kuanzia kesho watapata fursa ya kujengewa uwezo katika maswala ya kuendesha Kesi za jinai,madai na migogoro ambapo lengo kuu ni kuhakikisha wanamaliza na kutatua migogoro kwa haraka . Aidha migogoro inapotatuliwa kwa haraka sana watu wanatoka kwenye migogoro mahakamani na kwenda kwenye shughuli zao…

Read More

Tasac yaonya usalama wa vyombo vya majini, yatoa elimu

Geita. Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (Tasac) Mkoa wa Geita, limewatahadharisha wadau wote wa vyombo vya usafiri na wavuvi wanaotumia Ziwa Victoria, kufuatilia taarifa za hali ya hewa kabla ya kuanza safari za majini hususan kipindi hiki chenye mvua nyingi na upepo. Ofisa Mfawidhi wa Tasac Mkoa wa Geita, Godfrey Chegere aliyasema hayo jana…

Read More