Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: December 2024

  • Home
  • 2024
  • December
  • Page 251
Habari

Wadau wa elimu wamepongezwa kwa kuonesha juhudi kuhakikisha wanaongeza miradi yenye kukuza sekta ya elimu

December 1, 2024 Admin

Katika kuhakikisha kila mtoto wa Kitanzania anapata elimu, wadau mbalimbali wa elimu wamepongezwa kwa kuonesha juhudi juu ya kuhakikisha wafanikiwa kwa kuongeza miradi yenye kukuza

Read More
Habari

Kampuni za Kahama zaamuriwa kuzilipa Benki za Equity Sh125 bilioni

December 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Benki za Equity Tanzania Limited (EBT) na Equity Kenya Limited (EBK) zimeshinda kesi nyingine ya mgogoro wa mkopo wa Dola 47.22 milioni

Read More
Habari

Rais Samia atoa pole ya Mil 20 kwa familia ya King Kikii na Fred Kiluswa

December 1, 2024 Admin

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ametoa mkono wa pole kwa familia ya mwanamuziki mkongwe wa dansi, Marehemu Boniface Kikumbi

Read More
Michezo

Sh2.9 bilioni kutumika kukarabati Chuo cha Maofisa Tabibu Simiyu

December 1, 2024 Admin

Simiyu.  Serikali kupitia Wizara ya Afya imetangaza kutoa Sh2.9 bilioni kwa ajili ya kukarabati na kujenga upya Chuo cha Maofisa Tabibu Maswa, kilichopo mkoani Simiyu.

Read More
Habari

ELIMU YA AMALI YAANZA KUTOLEWA KWA WATHIBITI UBORA WA ELIMU NCHINI .

December 1, 2024 Admin

Mafunzo ya elimu ya amali yatakayowezesha kuboresha kiwango cha elimu ya vitendo nchini yameanza kwa wadhibiti Ubora wa elimu zaidi ya 300 Jijini Arusha, huku

Read More
Michezo

Kombinesheni ya Makambo, Yacouba usipime!

December 1, 2024 Admin

KAMA kuna kitu ambacho mashabiki wa Tabora United wanajivunia ni uwepo wa washambuliaji wawili waliowahi kutamba na timu ya Yanga, Mkongomani Heritier Makambo na Mburkina

Read More
Habari

REA KUSAMBAZA MAJIKO YA GESI 22,785 MKOANI KAGERA

December 1, 2024 Admin

*📌Wananchi 3,255 kila wilaya ya mkoa huo kunufaika* Wakala wa Nishati Vijiji (REA) kupitia kampuni ya Manjis Logistics Ltd, imeanza rasmi Mradi wa kusambaza majiko

Read More
Habari

Hatimae rais Joe Biden wa Marekani anakwenda Angola – DW – 01.12.2024

December 1, 2024 Admin

Rais anayeondoka madarakani nchini Marekani,Joe Biden anaanza ziara yake nchini Angola kuanzia Jumatatu, akitimiza ahadi muhimu aliyoitowa 2022 ya kuimarisha mahusiano na bara la Afrika

Read More
Habari

Wanaume watakiwa kuwashika mkono wake zao wenye maono

December 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi, Mhandisi Zena Said amewataka wanaume kwenye maeneo mbalimbali kuwapa ushirikiano wake zao haswa

Read More
Habari

POLISI YAANZA UFUATILIAJI ALIYEKATWA KWA NGUVU MBEZI MAGUFULI

December 1, 2024 Admin
Read More

Posts pagination

Previous 1 … 250 251 252 … 256 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.