Wadau wa elimu wamepongezwa kwa kuonesha juhudi kuhakikisha wanaongeza miradi yenye kukuza sekta ya elimu

Katika kuhakikisha kila mtoto wa Kitanzania anapata elimu, wadau mbalimbali wa elimu wamepongezwa kwa kuonesha juhudi juu ya kuhakikisha wafanikiwa kwa kuongeza miradi yenye kukuza sekta ya elimu. Hayo yamebainishwa leo na Diwani wa kata ya Tangini, Mfaume Kamuga wakati wa mahafali ya Wanafunzi wa kabla ya shule ya awali pamoja na ufunguzi wa shule…

Read More

Kombinesheni ya Makambo, Yacouba usipime!

KAMA kuna kitu ambacho mashabiki wa Tabora United wanajivunia ni uwepo wa washambuliaji wawili waliowahi kutamba na timu ya Yanga, Mkongomani Heritier Makambo na Mburkina Faso, Yacouba Songne kutokana na mchango wao ndani ya kikosi hicho. Makambo aliyejiunga na timu hiyo msimu huu akitokea Al Murooj SC ya Libya huku Yacouba Songne akitokea AS Arta/Solar7…

Read More

REA KUSAMBAZA MAJIKO YA GESI 22,785 MKOANI KAGERA

*📌Wananchi 3,255 kila wilaya ya mkoa huo kunufaika* Wakala wa Nishati Vijiji (REA) kupitia kampuni ya Manjis Logistics Ltd, imeanza rasmi Mradi wa kusambaza majiko ya gesi 22,785 kama sehemu ya kampeni ya kitaifa ya kuhamasisha na kuwawezesha Watanzania, kuendelea kutumia nishati safi ya kupikia katika mkoa wa Kagera. Msimamizi wa Miradi ya Nishati Safi…

Read More

Wanaume watakiwa kuwashika mkono wake zao wenye maono

Dar es Salaam. Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi, Mhandisi Zena Said amewataka wanaume kwenye maeneo mbalimbali kuwapa ushirikiano wake zao haswa wenye maono makubwa ya kiuchumi na kijamii. Ametoa kauli hiyo kwenye hafla ya utoaji tuzo za Malkia wa Nguvu zinazoendeshwa na Clouds Media Group zilizofanyika mwishoni mwa wiki huku malkia…

Read More