UNAWEZA kuona kama ni mapema hivi, lakini sio kwa kocha wa Azam FC Rachid Taoussi ambaye rekodi za kikosi chake zinazimpa jeuri na kusema mpango
Month: December 2024

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akihutubia wakati wa Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani yaliyofanyika Kitaifa Uwanja

Pemba. Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi Zanzibar, Shaaban Ali Othman amesema bonanza la michezo na utamaduni la Pemba linachochea utalii wa eneo hilo

The business of business should not be about money. It should be about responsibility. It should be about public good, not private greed. These

Songea/Dar. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango ametaja mambo matano yanayochochea maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) nchini akisema yanachangia kutofikiwa kwa malengo ya kutokomeza

Dodoma. Watu wawili wamefariki dunia akiwamo muuguzi wa Kituo cha Afya cha Haneti, Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, Rhoda Mitinda wakati akimsindikiza mjamzito kwenda katika

Dar es Salaam. Chama cha Bodaboda na Bajaji Wilaya ya Kigamboni kimesema kifo cha mbunge wao, Dk Faustine Ndugulile na mkurugenzi mteule wa Shirika la

Dar es Salaam. Wataalamu wa afya wamesema sio pombe na virusi vya homa ya ini ndiyo vinavyoweza kuathiri ogani hiyo, bali hata matumizi ya vinywaji

Dodoma. Ukatili na unyanyasaji wa kijinsia ni miongoni mwa hoja zilizozungumzwa zaidi na kutikisa vikao kadhaa vya Bunge mwaka 2024. Pamoja na mambo mengi yanayoangukia

Serikali ya Chad imetangaza kufuta makubaliano ya kijeshi na kiusalama iliyokuwa nayo na koloni lake la zamani Ufaransa. Uamuzi wa Chad unamaanisha wanajeshi takriban 1,000