Ambokile aanika mikakati mipya Mbeya City

MSHAMBULIAJI wa Mbeya City, Eliud Ambokile amesema msimu huu kuna uwezekano mkubwa wa kukipigania kikosi hicho ili msimu ujao kirejee tena Ligi Kuu Bara, kutokana na ushirikiano mkubwa uliopo baina yao wachezaji, wadau na viongozi kiujumla. Nyota huyo aliyefunga mabao manne ya Ligi ya Championship alisema msimu huu mwitikio kwao ni mkubwa tofauti na msimu…

Read More

INEC yatoa neno kwa mawakala wa vyama vya siasa

Moshi. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza kuwa, ingawa mawakala wa vyama vya siasa wataruhusiwa kuwepo kwenye vituo vya kuandikisha wapiga kura wakati wa uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura, hawatakuwa na mamlaka ya kuingilia utendaji wa watendaji wa tume. Hayo yameelezwa leo Jumapili Desemba mosi, 2024 na Makamu Mwenyekiti wa…

Read More

Jaruph apiga hat-trick Morocco | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Ain Diab ya Morocco, Jaruph Juma amesema anatamani kuendelea kufanya vizuri kwenye ligi hiyo kubwa baada ya kufunga hat-trick ya kwanza ikiwa siku chache tu tangu aliposajiliwa. Timu hiyo ilipata ushindi wa mabao 5-0 kwenye mchezo wa Ligi kuu ya Soka la Ufukweni ya Morocco (Beach Soccer) dhidi ya Hercules huku Jaruph akifunga…

Read More

TIC yatabiri 2024 kuwa mwaka wa rekodi ya uwekezaji

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Taifa cha Uwekezaji (TIC) Gilead Teri amesema huenda mwaka huu Tanzania ikavunja rekodi ya kujasili miradi mingi ya uwekezaji iliyodumu kwa miaka 11. Teri alisema hadi Novemba 29, 2024 TIC ilikuwa imesajili jumla ya miradi 800, idadi ambayo ni kubwa ikilinganishwa na miaka ya hivi karibuni lakini…

Read More

Watanzania waanza na vipigo | Mwanaspoti

WATANZANIA wawili wanaokipiga Ligi ya Walemavu nchini Uturuki wameanza vibaya ligi hiyo baada ya wote wawili kupoteza mbele ya vigogo wakimaliza dakika 90. Nyota hao ni Ramadhan Chomelo anayekipiga Konya Amputee na Hebron Shedrack wa Sisli Yeditepe ambao wako nchini humo kwa msimu wa tatu mfululizo sasa. Msimu mpya wa ligi hiyo ulianza Novemba 24,…

Read More

Hamisa na Baba Levo washinda tuzo

Mwimbaji Star Clinton Levokatusi Chipando Maarufu Kama Baba Levo Pamoja na mrembo Hamisa Mobetto wameshinda tuzo ya Influencers Bora wa Mwaka kupitia tuzo za Consumer Choice Awards Africa zilizotolewa Usiku wa Jana Baba Levo baada ya ushindi huo amefunguka kwa kusema “Mtanange ulikuwa Mzito sana, nawashukuru waandaaji wa Tuzo, ni mara yangu ya kwanza kugombea…

Read More