Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: December 2024

  • Home
  • 2024
  • December
  • Page 254
Michezo

Chobanka mbioni kujiunga Ceasiaa Queens

December 1, 2024 Admin

KOCHA wa Alliance Girls, Ezekiel Chobanka inaelezwa yuko mbinoni kujiunga na Ceasiaa Queens ya Iringa kwa mkataba wa mwaka mmoja. Kocha huyo ameifundisha Alliance kwa

Read More
Habari

Othman azifariji familia zilizoathiriwa na upepo Pemba

December 1, 2024 Admin

Unguja. Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Othman Masoud amezitembelea na kuzifariji familia 28 zilizoathiriwa na upepo Wilaya ya Micheweni Kaskazini Pemba. Upepo huo ulioambatana na

Read More
Michezo

Straika Yanga atimkia Zesco | Mwanaspoti

December 1, 2024 Admin

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga Princess, Mary Mbewe amejiunga na ZESCO Ndola Girls inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake Zambia. Mbewe ambaye aliachana na Yanga msimu

Read More
Habari

Serikali kuondoa mikondo miwili shuleni Zanzibar

December 1, 2024 Admin

Unguja. Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imesema inaendelea kuweka kipaumbele katika sekta ya elimu kujenga madarasa mengi kuondoa mikondo miwili shuleni. Makamu wa Pili wa

Read More
Habari

NBAA YATOA TUZO ZA UMAHILI KATIKA UANDAAJI WA TAARIFA ZA FEDHA YA MWAKA 2023 KWA MAKAMPUNI, TAASISI NA MASHIRIKA

December 1, 2024 Admin

Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali (IAG) CPA Benjamin Mashauri Magai akisoma hotuba ya utoaji wa Tuzo za umahiri katika uandaaji wa Taarifa za Fedha

Read More
Michezo

Banda ashinda kesi ya mamilioni

December 1, 2024 Admin

SHIRIKISHO la Soka duniani (Fifa) limeiamuru Richard Bays FC aliyokuwa akiichezea Abdi Banda kumlipa nyota huyo wa kimataifa wa Tanzania pesa zake za mshahara na

Read More
Habari

WANAWAKE NYAMAGANA WAPATA MAJIKO YA NISHATI SAFI KUPITIA KAMPENI YA SIKU 16 DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA YA BARRICK NA WASHIRIKA WAKE

December 1, 2024 Admin

  Baadhi ya wanufaika katika picha ya pamoja na mgeni rasmi Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Amina Makilagi akiongea katika hafla hiyo Makamu Mkuu wa

Read More
Habari

Benki ya CRDB yashinda tuzo ya chaguo namba moja, bunifu kwa wateja

December 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Tarehe 1 Desemba 2024: Baada ya kutoa huduma zenye ubora wa kimataifa kwa mwaka mzima, Benki ya CRDB imeingia mwezi Desemba kwa

Read More
Michezo

Ukata waahirisha mechi ya Mbeya City, Biashara United

December 1, 2024 Admin

MCHEZO wa raundi ya 11 wa Ligi ya Championship kati ya Mbeya City na Biashara United uliopangwa kuchezwa leo saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa

Read More
Habari

TFA YAPONGEZWA NA WIZARA YA KILIMO KWA KUTOA HUDUMA BORA KWA WAKULIMA.

December 1, 2024 Admin

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Mweli akizungumza katika Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa Chama cha Wakulima Tanganyika (TFA) .uliofanyika Jijini Arusha.Wanahisa wakifuatilia Mkutano Mkuu

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 253 254 255 256 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.