Chobanka mbioni kujiunga Ceasiaa Queens

KOCHA wa Alliance Girls, Ezekiel Chobanka inaelezwa yuko mbinoni kujiunga na Ceasiaa Queens ya Iringa kwa mkataba wa mwaka mmoja. Kocha huyo ameifundisha Alliance kwa zaidi ya misimu 15 akiwatengeneza baadhi ya nyota wa kike wanaokipiga nje akiwemo Aisha Masaka wa Brighton, Enekia Lunyamila (Mazaltan, Mexico) na Aisha Mnunka wa Simba Queens aliyeibuka mfungaji bora…

Read More

Othman azifariji familia zilizoathiriwa na upepo Pemba

Unguja. Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Othman Masoud amezitembelea na kuzifariji familia 28 zilizoathiriwa na upepo Wilaya ya Micheweni Kaskazini Pemba. Upepo huo ulioambatana na mvua ulitokea Oktoba 22, 2024 katika Shehia ya Mgogoni kisiwani hapo na kuziacha baadhi ya kaya bila makazi.  Akiwa katika familia hizo Desemba mosi, 2024 Othman amesema kuzuka kwa upepo…

Read More

Straika Yanga atimkia Zesco | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga Princess, Mary Mbewe amejiunga na ZESCO Ndola Girls inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake Zambia. Mbewe ambaye aliachana na Yanga msimu uliopita baada ya mkataba wake wa miezi sita kumalizika, ametua klabuni hapo kama mchezaji huru akiwa pia anaitumikia timu ya taifa ya Zambia. Nyota huyo akiwa nahodha wa kikosi hicho…

Read More

Serikali kuondoa mikondo miwili shuleni Zanzibar

Unguja. Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imesema inaendelea kuweka kipaumbele katika sekta ya elimu kujenga madarasa mengi kuondoa mikondo miwili shuleni. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar,  Hemed Suleiman Abdulla amesema hayo leo Jumapili Desemba mosi, 2024 wakati akiweka jiwe la msingi  kwenye shule nne za sekondari kwa mpigo Mkoa wa Kaskazini Unguja. Amesema hatua hiyo…

Read More

Banda ashinda kesi ya mamilioni

SHIRIKISHO la Soka duniani (Fifa) limeiamuru Richard Bays FC aliyokuwa akiichezea Abdi Banda kumlipa nyota huyo wa kimataifa wa Tanzania pesa zake za mshahara na usajili anazowadai. Msimamizi wa beki huyo wa zamani wa Simba, Fadhili Omary Sizya alisema ni kweli FIFA imeiagiza Bays kumlipa Banda Sh115,911,440, baada ya kushinda kesi ya madai aliyoifungua mwezi uliopita….

Read More

WANAWAKE NYAMAGANA WAPATA MAJIKO YA NISHATI SAFI KUPITIA KAMPENI YA SIKU 16 DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA YA BARRICK NA WASHIRIKA WAKE

  Baadhi ya wanufaika katika picha ya pamoja na mgeni rasmi Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Amina Makilagi akiongea katika hafla hiyo Makamu Mkuu wa wa chuo cha SAUT Prof. Costa Ricky Mahalu akiongea katika hafla hiyo Wanufaika wakifuatilia matukio katika hafla hiyo Wanufaika wakifuatilia matukio katika hafla hiyo   ***   Ukiwa ni mwendelezo…

Read More

Ukata waahirisha mechi ya Mbeya City, Biashara United

MCHEZO wa raundi ya 11 wa Ligi ya Championship kati ya Mbeya City na Biashara United uliopangwa kuchezwa leo saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa Sokoine Mbeya, umeahirishwa hadi Jumanne, huku sababu zikitajwa kuwa ni ukata. Taarifa iliyotolewa na Mbeya City ilieleza mchezo huo utachezwa siku ya Jumanne badala ya leo kama ulivyopangwa awali. Mwanaspoti…

Read More

TFA YAPONGEZWA NA WIZARA YA KILIMO KWA KUTOA HUDUMA BORA KWA WAKULIMA.

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Mweli akizungumza katika Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa Chama cha Wakulima Tanganyika (TFA) .uliofanyika Jijini Arusha.Wanahisa wakifuatilia Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa Chama cha Wakulima Tanganyika (TFA).Mkurugenzi Wa chama cha Wakulima Tanganyika (TFA) Jastin Shirima akizungumza na WanahisaKatibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Mweli akipewa maelekezo ya pembejeo zinazotolewa…

Read More