Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: December 2024

  • Home
  • 2024
  • December
  • Page 255
Habari

TCAA yanyakua tuzo 3 za mwajiri bora 2024

December 1, 2024 Admin

Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA), imenyakua tuzo tatu katika usiku wa utoaji wa tuzo za Mwajiri Bora zilizofanyika jijini Dar es Salaam Novemba 29,

Read More
Habari

Dk Mpango awapa ujumbe CEOrt kukabili tatizo la ajira kwa vijana

December 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango ametoa wito kwa wanachama wa CEO Roundtable of Tanzania (CEOrt) kuvumbua njia zinazotekelezeka katika

Read More
Habari

Polisi: Nondo amechukuliwa na Land Cruiser nyeupe, tunafuatilia

December 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakati ACT-Wazalendo ikisema mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa chama hicho, Abdul Nondo ametekwa leo asubuhi, Jeshi la Polisi limesema amechukuliwa na

Read More
Habari

Ujenzi wa uwanja wa AFCON Arusha wafikia 11%

December 1, 2024 Admin

Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Gerson Msigwa amesema anaridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa Uwanja wa Michezo wa Arusha unaotarajiwa kutumika

Read More
Habari

Uchaguzi serikali za mitaa: Profesa Kitila, Boni Yai, Madeleka, Mchinjita walivyonyukana kwenye mdahalo

December 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Ushindani wa hoja, vijembe na misimamo ya kisiasa, ni miongoni mwa mambo yaliyoshuhudiwa katika mdahalo uliohusisha viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM),

Read More
Habari

‘Bima kwa Wote itapunguza vifo vitokanavyo na Ukimwi’

December 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya Ukimwi imesema vifo vitokanavyo na Ukimwi, vitapunguzwa nchini, iwapo Sheria ya Bima

Read More
Habari

Nondo wa ACT-Wazalendo adaiwa kutekwa, Polisi yasema…

December 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya ACT-Wazalendo, Abdul Nondo anadaiwa kutekwa na watu wasiojulikana katika Kituo cha Mabasi cha Magufuli kilichopo Mbezi

Read More
Habari

Afariki dunia kwa kung’atwa na nyoka wakati wa tambiko kwa mganga

December 1, 2024 Admin

Busia. Mkazi mmoja nchini Kenya, Margaret Agutu amefariki dunia baada ya kung’atwa na nyoka wakati wa ibada ya tambiko iliyokuwa ikifanywa na mganga wa kienyeji.

Read More
Habari

Simulizi ya Zuhura mwenye VVU miaka 15 katikati ya unyanyapaa  

December 1, 2024 Admin

Songea. Zuhura Juma (51), mkazi wa Mfaranyaki wilayani Songea anapozungumzia maambukuzi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), anataka jamii iwe na tafakari ya kina kuhusu yanayotokana

Read More
Habari

Miaka 41 ya kudhibiti Ukimwi, maambukizi yakipungua

December 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mapambano ya kutokomeza maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) na Ukimwi, kwa mara ya kwanza yalianza baada ya kuwagundua wagonjwa watatu Novemba,

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 254 255 256 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.