TCAA yanyakua tuzo 3 za mwajiri bora 2024

Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA), imenyakua tuzo tatu katika usiku wa utoaji wa tuzo za Mwajiri Bora zilizofanyika jijini Dar es Salaam Novemba 29, 2024. Katika usiku huo wa tuzo TCAA imenyakua tuzo ya Mshindi wa Kwanza wa Maudhui ya Ndani, Tuzo ya mshindi wa pili ya Mwajiri Bora katika Sekta za Umma na…

Read More

Ujenzi wa uwanja wa AFCON Arusha wafikia 11%

Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Gerson Msigwa amesema anaridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa Uwanja wa Michezo wa Arusha unaotarajiwa kutumika kwa ajili ya Fainali za AFCON 2027 ambao hadi sasa umefikia 11% za ujenzi. Msigwa amesema hayo wakati alipotembelea na kukagua maendeleo ya Mradi wa ujenzi wa uwanja huo unaojengwa…

Read More

Uchaguzi serikali za mitaa: Profesa Kitila, Boni Yai, Madeleka, Mchinjita walivyonyukana kwenye mdahalo

Dar es Salaam. Ushindani wa hoja, vijembe na misimamo ya kisiasa, ni miongoni mwa mambo yaliyoshuhudiwa katika mdahalo uliohusisha viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Chama cha Demokraisa na Maendeleo (Chadema), ACT Wazalendo pamoja na mwanasheria. Mdahalo huo uliolenga kujadili tathmini ya uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2024, umefanyika ikiwa zimepita siku tano tangu…

Read More

Nondo wa ACT-Wazalendo adaiwa kutekwa, Polisi yasema…

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya ACT-Wazalendo, Abdul Nondo anadaiwa kutekwa na watu wasiojulikana katika Kituo cha Mabasi cha Magufuli kilichopo Mbezi Luis wilayani Ubungo jijini Dar es Salaam. Nondo anadaiwa kukutwa na kadhia hiyo leo Jumapili Desemba mosi, 2024 muda mfupi baada ya kushuka katika basi akitokea mkoani Kigoma alikokuwa akishiriki…

Read More

Miaka 41 ya kudhibiti Ukimwi, maambukizi yakipungua

Dar es Salaam. Mapambano ya kutokomeza maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) na Ukimwi, kwa mara ya kwanza yalianza baada ya kuwagundua wagonjwa watatu Novemba, 1983 katika Hospitali ya Ndolage mkoani Kagera. Wakati bado haijajulikana ni nini hasa kinawasumbua wagonjwa hao, maambukizi ya VVU yalienea kwa kasi kubwa, kukawa na wagonjwa wengi wa Ukimwi miaka…

Read More