Ukimleta ndugu yako mjini mwambie haya

Mwaka unaisha, kwa sisi waswahili hiki ndio kipindi cha kuchukua ndugu zetu, watoto wa dada zetu, wa shangazi na wa wajomba zetu kutoka vijijini kuwaleta mjini kuwafundisha maisha ili wajijenge kama sisi ambavyo tuliletwa mjini tukajijenga. Kushikana mikono ni utamaduni mzuri sana, lakini kama kawaida ya mtu anapokwenda kwenye mazingira mapya, lazima apate maelekezo ya…

Read More

Kinachoathiri utimamu wa afya ya akili ya mtoto

Mwanaisha (52) ni mama wa watoto wanne. Mwanawe wa kwanza, Bashir (28) anapitia wakati mgumu kwenye uhusiano na mchumba wake. Jitihada za kurekebisha changamoto hizo hazijafanikiwa kuleta ufumbuzi. Kabla hajakutana na mchumba wake wa sasa, Bashir amekuwa na uhusiano na wanawake kadhaa ambao kama inavyoelekea kwenye uhusiano huu wa sasa, uliishia kuvunjika.  Hanifa (26), mtoto…

Read More

Hatari ya ‘utani’ kwenye uhusiano

Dar es Salaam. Licha ya mazungumzo kuwa nguzo muhimu katika ndoa na uhusiano, lakini maneno haya huweza kugeuka mwiba na sumu kali inayoweza kuleta madhara endapo yatatumika vibaya. Dhihaka, matusi, kejeli na maneno ya udhalilishaji dhidi ya mwenza yanaelezwa kuwa chanzo pia cha maumivu yanayoweza kusababisha changamoto ya afya ya akili. Angel Willium ni miongoni…

Read More

Azam kibaruani kuishusha Simba kileleni

IKIWA imebaki tofauti ya pointi moja kati ya Simba SC iliyoko kileleni kwa alama 28 na Azam FC iliyo nafasi ya pili na pointi 27, matajiri hao wa Chamazi wapo na kibarua cha kukwea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara. Azam leo Jumapili, wanakutana na Dodoma Jiji katika Uwanja wa Jamhuri, mchezo unaotarajiwa kuwa…

Read More

Yanga!… Haya ni maajabu | Mwanaspoti

JANA saa 12:30 jioni Yanga ilikuwa pale Ruangwa mkoani Lindi kucheza mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo. Timu hizo zilikutana zote zikiwa hazina matokeo ya kuridhisha. Wenyeji Namungo kabla ya mchezo wa jana, ilikuwa imetoka kupoteza mechi sita mfululizo za ligi wakati Yanga ikipoteza mbili za mwisho. Wakati zote zikiwa kwenye hali mbaya,…

Read More

Simba kwamoto… Debora, Ngoma hapatoshi

KIUNGO Mkongomani Fabrice Ngoma, ambaye mwanzoni alionekana kutokuwa katika sehemu ya mipango ya Kocha wa Simba, Fadlu Davids, ameibuka kuwa lulu katika safu ya kiungo ya timu hiyo. Msimu huu wa Ligi Kuu Bara ulioanza kwa changamoto kadhaa kwa kiungo huyo, lakini sasa Ngoma ameonyesha uwezo mkubwa akichangia moja kwa moja kurejesha uwiano katika eneo…

Read More