Russia yamnasa aliyejaribu kutega bomu Moscow

Moscow. Shirika la Ujasusi la Russia (FSB) limedai kumkamata raia wa nchi hiyo akidaiwa kukubaliana na vikosi vya Jeshi la Ukraine kufanya jaribio la mauaji ya mwanablogu na Ofisa wa Juu wa Jeshi la Russia kwa kumlipua na bomu. Katika taarifa iliyotolewa leo Jumamosi Desemba 28, 2024 na FSB, mtuhumiwa huyo amewaeleza wapelelezi kuwa Ukraine…

Read More

Waziri Ulega afanya ziara ya kushtukiza kukagua maendeleo ya miradi ya ujenzi wa miundombinu ya Mabasi yaendayo Haraka (BRT)

Waziri wa Ujenzi, Mheshimiwa Abdallah Ulega, amefanya ziara ya kushtukiza usiku wa kuamkia leo Jumamosi tarehe 28, Disemba 2024 yenye lengo la kukagua maendeleo ya miradi ya ujenzi wa miundombinu ya Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) katika maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam. Katika ziara hiyo, Waziri Ulega ameagiza miradi hiyo ikamilike kabla ya msimu wa…

Read More

MABASI YAKAGULIWA, WAMILIKI WAONYWA – MICHUZI BLOG

NA BALTAZAR MASHAKA, MISUNGWI JESHI la Polisi Mkoa wa Mwanza limeendesha ukaguzi wa magari ya abiria mkakati wa kudhibiti ajali na uvunjaji wa sheria za barabarani zinazofanywa na madereva. Ukaguzi huo ulifanyika 27 Disemba 2024 ,katika eneo la Usagara, Wilaya ya Misungwi, umelenga magari yanayosafiri mikoani ili kuzuia ajali zinazotokana na uzembe wa madereva na…

Read More

TASHICO YAFAFANUA MELI MV SERENGETI KUZAMA ZIWA VICTORIA

NA BALTAZAR MASHAKA, MWANZA KAMPUNI ya Meli Tanzania (TASHICO) imefafanua tukio la kuzama kwa meli ya MV Serengeti katika Bandari ya Mwanza Kusini,Ziwa Victoria, baadaa ya kukumbwa na tatizo la kuegemea upande wa nyuma na kutitia chini ndani ya maji. Akizungumza na waandishi wa Habari, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TASHICO, Wakili Alphonce Paul Sebukoto, ameeleza…

Read More

Kama kawaida Meridianbet yarudisha kwa jamii tena

Mabingwa wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet wameendelea kuhakikisha jamii yao inanufaika na uwepo wao kwani leo tena wametoa msaada kwa jamii. Meridianbet leo wamefika eneo la Sinza Uzuri jijini Dar-es-salaam na kuhakikisha wanatoa msaada wa mahitaji ya chakula kwa familia kadhaa ambazo hazina uwezo wa kutosha, Hii ikiendelea kuonesha namna gani wanaithamini jamii…

Read More

Unaukumbuka ugali wa Yanga? | Mwananchi

Dodoma. Kutokana na baa la njaa katika miaka ya 1974 hadi 1975, Watanzania walilazimika kula ugali uliotokana na mahindi ya njano kutoka Marekani. Ukapewa jina ugali wa yanga. Ugali wa yanga ni moja ya masimulizi ya kipekee katika historia ya Tanzania, ambapo jina hili maarufu lilitokana na uhusiano wa rangi ya njano ya unga huo …

Read More

Waziri Ulega akagua ujenzi wa barabara usiku

Dar es Salaam. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amewataka makandarasi wanaotekeleza miradi ya barabara zikiwemo za mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT), kuhakikisha wanakamilisha kazi kwa sehemu kubwa kabla ya mvua za masika hazijaanza. Ametoa agizo hilo jana Ijumaa Desemba 27, 2024 alipofanya ziara kukagua maeneo ya Kimara Bucha, Mwenge na Lugalo kukagua ujenzi wa…

Read More

Rais Samia kugharamia mazishi ya Kadhi wa Mkoa wa Morogoro

Morogoro. Rais Samia Suluhu Hassan ameaihidi kugharamia shughuli zote za mazishi ya aliyekuwa Kadhi wa Mkoa wa Morogoro Sheikh Mussa Bolingo ambaye amefariki jana Ijumaa Desemba 27,2024 saa moja usiku katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Morogoro alikopelekwa kupatiwa matibabu. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Desemba 28,2024 Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Musa Kilakala amesema…

Read More

Bao sasa kuchezwa kila mkoa

KATIKA kuhakikisha mchezo wa bao unachezwa kila kona ya nchi, chama cha mchezo huo Tanzania (Shimbata), kimepanga kuanzisha mashindano ya kila mkoa kuanzia mwakani. Mchezo wa bao ni moja ya michezo ya jadi iliyoasisiwa miaka mingi iliyopita na ulikuwa ukipendwa kuchezwa na Rais wa Awamu ya Kwanza na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere na…

Read More

Abdulaziz Makame afukuzwa kambini, Heros kwa utovu wa nidhamu

Kocha wa Zanzibar Heros, Hemed Suleiman Morocco amemfukuza kambini beki Abdulaziz Makame (Bui) kwenye kambi ya kikosi hicho kinachojiandaa na mashindano ya Mapinduzi Cup yanayotarajiwa kuanza Januari 03, 2025 kisiwani Pemba. Katika taarifa iliyotolewa na Shirikisho la Soka Zanzibar (ZFF) imesema Bui amefukuzwa kambini kwa utovu wa nidhamu baada ya kushindwa kuripoti mapema kambini ikiwa…

Read More