Putin aja na mpya vita ya Russia, Ukraine

Rais wa Russia, Vladimir Putin amesema anaamini Mungu yuko upande wa taifa hilo katika mzozo unaoendelea kati yake na Ukraine inayoongozwa na Rais Volodymyr Zelenskyy. Putin alitoa kauli hiyo jana alipozungumza na waandishi wa habari, muda mfupi baada kuhitimishwa kwa Mkutano wa Baraza la Uchumi la Mataifa ya Ulaya na Asia (Eurasia) la SEEC uliofanyika…

Read More

Walilia uraia pacha, kisa kudhulumiwa na ndugu zao

Dar es Salaam. Watanzania wanaoishi nje ya nchi (diaspora) wamesisitiza haja ya kuwa na uraia pacha ili kuepuka usumbufu, ikiwa ni pamoja na uhalifu wanaofanyiwa na ndugu na jamaa zao wanapowatumia fedha kwa ajili ya kuwekeza kwenye vitega uchumi. Mara kadhaa Serikali imetoa msimamo suala la uraia pacha, ikisema linasimamiwa na Sheria ya Uraia ya…

Read More

Urusi yatwaa vijiji vingine viwili vya mashariki mwa Ukraine – DW – 27.12.2024

Wizara ya Ulinzi ya Urusi imesema vijiji hivyo vya mashariki vilivyochukuliwa ni Ivanivka katika mkoa wa Donetsk, na Zahryzove katika mkoa wa Kharkiv. Taarifa za shirika la Habari la Urusi, RIA zimeinukuu wizara ya ulinzi ya Urusi imesema jeshi limeyaangusha makombora manne aina ya Storm Shadow, yaliyotengenezwa na Uingereza. Eneo lililoharibiwa kwa makombora katika mkji wa…

Read More

Waziri Soraga ataka amani kulinda utalii

Unguja. Wakati tukielekea katika uchaguzi Mkuu wa 2025, Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale, Mudrick Ramadhan Soraga amesema sekta ya utalii ndiyo imebeba uchumi wa Zanzibar, hivyo ikitokea ikakosekana amani sekta ya kwanza kuathirika ni utalii. Hivyo, amewataka wananchi kila mmoja kuepusha chokochoko na vurugu ambazo zitafanya sekta hiyo kudorora. Ametoa kauli hiyo leo…

Read More

Kilio cha maji, ZRA yajitosa kutatua changamoto

Unguja. Wakati wananchi wakieleza changamoto wanazopitia kutokana na kukosa huduma ya majisafi na salama, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesema itahakikisha inaendelea kufikisha huduma zote muhimu, hususani maeneo ya pembezoni mwa nchi. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Fedha na Mipango, Dk Saada Mkuya Salum amesema hayo leo Desemba 27, 2024 alipokabidhi kisima kilichojengwa…

Read More

Ramovic amtaja anayeipa jeuri Yanga

Ushindi wa mechi nne mfululizo za Ligi Kuu Bara kwa Yanga tangu ianze kufundishwa na Kocha Sead Ramovic, umewafanya mashabiki wa timu hiyo kupata jeuri ya kurudi  kwenye mbio za ubingwa. Wakati mashabiki wakipata jeuri hiyo huku wakiishuhudia timu yao ikicheza soka safi la kushambulia bila kuchoka mwanzo mwisho, Kocha Ramovic amemtaja mtu muhimu anayefanya…

Read More