Jicho la wadau minyukano makada wa Chadema mitandaoni

Dar es Salaam. Uchaguzi kuwapata viongozi wakuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) unaotarajiwa kufanyika Januari 21, 2025 unatajwa utaamua anguko au kuimarika zaidi kwa chama hicho kikuu cha upinzani nchini. Anguko litatokana na kilichoelezwa na wachambuzi wa masuala ya siasa kuwa, kwa namna minyukano inavyoendelea kuna dalili mgombea atakayeshindwa nafasi ya uenyekiti wa…

Read More

Maabad aziingiza vitani Coastal, Tabora United

MSHAMBULIAJI wa Coastal Union, Maabad Maabad ameziingiza vitani Tabora United na klabu anayoichezea sasa aliyomaliza nayo mkataba, baada ya kila upande kutaka kupata huduma yake, Wagosi wakitaka kumbakisha na Tabora kumbeba ili kwenda kuboresha safu ya ushambuliji ya kikosi hicho cha Nyuki wa Tabora. Maabad anaitumikia Coastal kwa msimu wa tatu sasa katika Ligi Kuu…

Read More

Ngushi akumbuka jambo Yanga | Mwanaspoti

NYOTA wa Mashujaa Kigoma, Crispin Ngushi, amefunguka jinsi ushindani wa namba aliokumbana nao Yanga ulivyomjenga na kuwa alivyo sasa kwa Wana Mapigo na Mwendo. Ngushi, ambaye sasa ni mmoja wa wachezaji muhimu wa Mashujaa akiwa na mabao mawili katika ligi, amesema kuwa miaka aliyokuwa akicheza Yanga ilimfundisha kuwa kila nafasi katika timu kubwa inahitaji juhudi…

Read More

Alivyoishi mtoto wa mfanyabiashara aliyeuawa

Dodoma. Mwalimu wa Kwaya ya Shekina iliyoko chini ya Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Area D jijini Dodoma, Amani Bale amesimulia jinsi mtoto Grayson Kanyenye (6) aliyeuawa, alivyoshiriki uimbaji. Grayson, mtoto wa mfanyabiashara Zainab Shaban, alifariki dunia usiku wa kuamkia Desemba 25, 2024 nyumbani kwa rafiki yake ambaye ni Ofisa Uvuvi Mtera, Hamis…

Read More

Tiote ajiandaa kutua FOG | Mwanaspoti

KLABU ya Fountain Gate a.k. a FOG imekamilisha usajili wa aliyekuwa winga wa Mtibwa Sugar, Kassim Haruna ‘Tiote’ kwa mkataba wa mwaka mmoja, baada ya dili la nyota huyo kukwama mwanzoni mwa msimu huu kutokana na kushindwa kufikia makubaliano. Nyota huyo wa zamani wa Polisi Tanzania na Namungo amejiunga na kikosi hicho chenye makazi yake…

Read More