Kesi za watu maarufu zilizobamba 2024

Dar es Salaam. Komanya Erick Kitwala, Luhaga Mpina na Dk Yahya Nawanda ni miongoni mwa majina ya watu maarufu walioingia katika kumbukumbu za Mahakama kwa mwaka 2024, kutokana na kesi zilizowahusisha au kuamuiwa mwaka huu. Hizi ni kesi zilizowahusisha wadaawa (kwa zile za madai) au washtakiwa (kesi za jinai ambao ni watu maarufu katika jamii…

Read More

Zingatia haya kuboresha afya yako 2025

Tunapokaribia mwaka mpya ni kawaida kutafakari juu ya mafanikio yetu na kuweka malengo kwa siku zijazo. Iwe ni kupiga hatua kazini, kuimarisha mahusiano au kufanikisha malengo binafsi. Lakini kuna jambo moja muhimu ambalo linapaswa kupewa kipaumbele, nalo ni kujali afya yako. Maana si jambo geni kusikia mtu wa karibu au tunayemfahamu kapata changamoto ghafla au…

Read More

Mauaji ya raia nchini Afghanistan, ajali ya ndege ya Kazakhstan, wakimbizi zaidi wa Syria warejea nyumbani – Masuala ya Ulimwenguni

Ujumbe huo umetaka uchunguzi ufanyike ili “kuhakikisha uwajibikaji, kuzuia kujirudia na kuzingatia haki za wahasiriwa”, ikibainisha kuwa sheria ya kimataifa inawalazimu vikosi vya kijeshi kuchukua tahadhari zinazohitajika ili kuzuia madhara ya raia, ikiwa ni pamoja na kutofautisha kati ya raia na wapiganaji katika operesheni. Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEFpia alielezea wasiwasi…

Read More

Miili sita waliofariki kwa ajali Rombo yatambuliwa

Rombo. Miili sita kati ya tisa ya watu waliofariki kwa ajali ya gari iliyohusisha basi la abiria la Ngasere na Toyota Noah, katika eneo la Tarakea katika Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro imetambuliwa huku mingine mitatu ikiwa bado haijatambuliwa. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamanda wa polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amesema ajali…

Read More

Utitiri wa Wachina kila kona ni fursa au janga?

Takwimu zikionyesha kuwa China ndiyo mbia namba moja wa biashara na uwekezaji nchini, kumekuwa na mchanganyiko wa mawazo juu ya wingi wa raia Taifa hilo namba mbili kwa uchumi duniani. Wapo wanaoona wingi wa Wachina nchini ni fursa ya maendeleo kwa kuongeza shughuli za kiuchumi na wengine wakihofu kuibuka kwa unyonyaji mpya wa uchumi na…

Read More