
Wakazi wa Ngombo walalama Serikali kuwahamisha bila kuwapatia maeneo
Malinyi. Wanakijiji wa Ngombo, wilayani Malinyi mkoani Morogoro wameilalamikia Serikali kwa kuanzisha oparesheni ya kuwaondoa katika kijiji hicho kupisha Pori la Akiba la Kilombero, bila kuwapatia eneo mbadala la kuhamia. Wanakijiji hao, walioko katikati ya Bonde la Kilombero, wamekubali kuondoka lakini wanahoji; wataenda wapi? Mkazi wa kijiji hicho, David Mkumba amesema alizaliwa Ngombo, na wazazi…