
Mugango, Sirari kuanza kufurahi huduma kifedha
Musoma. Benki ya CRDB imefungua matawi mawili mapya mkoani Mara, Mugango (Musoma Vijijini) na Sirari (Tarime), ikiwa ni sehemu ya jitihada za kusogeza huduma karibu na wananchi kwa kaulimbiu ya ‘ulipo, tupo’. Ofisa Mkuu wa Biashara wa CRDB, Boma Raballa amesema matawi hayo yameanzishwa kutokana na mahitaji makubwa ya huduma za kifedha katika shughuli za…