Ramovic, Job watofautiana Yanga | Mwanaspoti

KOCHA wa Yanga, Sead Ramovic na nahodha msaidizi wa timu hiyo, Dickson Job ni kama wametofautiana juu ya kasi na mwenendo wa timu hiyo iliyoshinda mechi tatu mfululizo za Ligi Kuu tangu ilipotoka kuchemsha kwenye michezo ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Yanga iliyokuwa imepoteza mechi mbili za CAF za Kundi A mbele ya Al Hilal…

Read More

Januari itakuwa nyepesi kiuchumi ukifanya haya

Dar es Salaam. Baada ya Sikukuu ya Krismasi, kipindi kinachotajwa kuwa cha matumizi makubwa ni Januari. Bado siku tano kuingia Januari Mosi, mwezi unaofahamika na wengi kama wenye changamoto za ukosefu wa pesa. Baadhi ya watu wanasema, changamoto za Januari huchochewa na watu kufanya matumizi mengi kipindi cha mwezi Desemba na kupelekea wengine kuwa kwenye madeni….

Read More

Kufungiwa CS Sfaxien kwamfurahisha Fadlu, aonya Mastaa

TAARIFA kwamba Sfaxien ya Tunisia imefungiwa kucheza ikiwa na mashabiki katika mechi mbili za mwisho za Kundi A ikiwa nyumbani ikiwamo ile dhidi ya Simba, imemfanya kocha wa Msimbazi, Fadlu David kuchekelea, lakini akionya mashabiki kwamba wasibweteke kwa kuamini kucheza bila mashabiki ugenini itawabeba Tunis. Shirikisho la Soka Afrika (CAF), imedaiwa kuiadhibu klabu hiyo kutokana…

Read More

Waziri Faeser aionya AfD kutumia tukio la Magdeburg kisiasa – DW – 26.12.2024

Watu watano waliuawa na zaidi ya 200 walijeruhiwa wakati gari lilipoendeshwa kupitia umati wa watu katika soko la Krismasi huko Magdeburg, mashariki mwa Ujerumani. Chama cha mrengo wa kulia, Alternative for Germany (AfD), kiliandaa mkutano mjini humo Jumatatu. Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ujerumani, Nancy Faeser, Jumatano aliitaka AfD isitumie shambulio hilo kwenye soko…

Read More

Wale wa ‘tazama hutaamini’ Youtube hatarini

Dar es Salaam. Wale wapandisha maudhui yenye picha na kichwa cha habari (Thumbnail) kisichoendana na video husika katika mtandao wa YouTube sasa kubanwa kila kona baada ya mtandao huo kuja na mfumo wa kuziondoa habari hizo. Mchakato wa uondoaji ambao utaanzia nchini India kisha kusambaa katika nchi nyingine mapema mwakani. YouTube itakuwa inaangalia picha na…

Read More

Ouma: Ubora utaamua dhidi ya Simba

KOCHA msaidizi wa Singida Black Stars, David Ouma amesema ubora wa mchezaji mmoja mmoja wa kikosi hicho, ndio utakaoamua matokeo ya mchezo wa kesho dhidi ya Simba watakapofunga nao mwaka wakiwa nyumbani mjini Singida. Singida iliyopo nafasi ya nne kwa sasa katika msimamo wa Ligi Kuu Bara, itakuwa wenyeji wa Simba kwenye Uwanja wa Liti,…

Read More

Watawala wa Syria waanzisha operesheni kwenye ngome za Assad – DW – 26.12.2024

Shirika la habari la serikali – SANA limesema vikosi vya usalama vilifanya msako dhidi ya wapiganaji wanaomuunga mkono Assad katika mkoa wa magharibi wa Tartus, na kuwauwa wanamgambo kadhaa. Shirika linalofuatilia hali nchini Syria, Syrian Observatory for Human Rights limesema wapiganaji watatu wanaohusishwa na serikali ya Assad waliuawa kwenye operesheni hiyo. Imefanywa siku moja baada…

Read More

Kicheko asali ya Tanzania ikisafirishwa kwenda China

Dar es Salaam. Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Selemani Jafo amesema mazao ya nyuki ikiwemo asali kuanza kusafirishwa kuuzwa kwenye soko la nchini China ni fursa kwa wazalishaji wa bidhaa hiyo nchini. Huku akiwashauri walina asali na wadau nchini kuzingatia kanuni na taratibu za kitaalamu ili kuzalisha bidhaa bora itakayosaidia kuongeza thamani na kuitangaza…

Read More

Djuma avunja ukimya Namungo | Mwanaspoti

BAADA ya kuitumikia Namungo kwa muda wa miezi sita kabla ya kutangazwa kutemwa, beki wa zamani wa AS Vita na Yanga, Djuma Shaban amefunguka sababu za kuvunja mkataba na Wauaji wa Kusini hao akisema ni kushindwa kutumika mara kwa mara kikosini. Namungo, ilithibitisha kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba na Djuma aliyejiunga nayo mwanzoni mwa msimu…

Read More