
ISSA GAVU ATOA ZAWADI KWA WASHINDI WA MASHINDANO YA MICHEZO MBALIMBALI – UNGUJA
Mwakilishi wa Jimbo la Chwaka Mkoa kusini Unguja Mhe. Issa Ussi Gavu ambaye ni Katibu wa Oganazesheni wa CCM Taifa (MCC) ametoa zawadi mbalimbali za medali, vikombe na fedha kwa washindi walioshinda kwenye mashindano ya waendesha baiskeli, mchezo wa bao, karata, kukimbiza kuku nk. Kabla ya kuanza kwa mashindano hayo wananchi wa Jimbo hilo na…