AKILI ZA KIJIWENI: Siri ya watoto wa Morogoro ni hii

VIJANA wa Morogoro hivi sasa wamezikamata Simba na Yanga kutokana na viwango bora wanavyovionyesha katika vikosi vya timu hizo ambavyo vimewawezesha kupata namba vikosini. Katika kikosi cha Yanga kuna Dickson Job, Nickson Kibabage, Kibwana Shomari, Abuutwalib Mshery na Jonas Mkude ambaye hata hivyo yeye amekuwa hapati nafasi ya kucheza ila amedumu sana kwenye kiwango chake….

Read More

Simkoko, Mwambusi na sasa Ahmad Ally

MIAKA ya 2000, mwanaume mmoja aliibuka akiwa na timu ya mkoani na kuzipasua kichwa timu mbili kongwe za Simba na Yanga na akafanikiwa kutwaa kombe la ligi mbele yao. Ni kocha wa mpira, John Simkoko ambaye aliiongoza Mtibwa Sugar kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara mwaka 1999 na 2000 anabakia kuwa kocha wa mwisho…

Read More

Mjadala wa chimbuko la shikamoo, umuhimu wake

Maamkizi ya “shikamoo” ni sehemu muhimu ya tamaduni za Kiswahili na yanadhihirisha heshima na unyenyekevu, hasa kwa wazee au wale waliotutangulia kijamii. Katika jamii za Kiafrika, heshima kwa wakubwa ni msingi wa maadili, na shikamoo hutoa nafasi ya kudumisha uhusiano wa heshima na mshikamano wa kijamii. Hata hivyo, swali la iwapo ni lazima shikamoo ibaki…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Siri ya watoto wa Morogoro hii

VIJANA wa Morogoro hivi sasa wamezikamata Simba na Yanga kutokana na viwango bora wanavyovionyesha katika vikosi vya timu hizo ambavyo vimewawezesha kupata namba vikosini. Katika kikosi cha Yanga kuna Dickson Job, Nickson Kibabage, Kibwana Shomari, Abuutwalib Mshery na Jonas Mkude ambaye hata hivyo yeye amekuwa hapati nafasi ya kucheza ila amedumu sana kwenye kiwango chake….

Read More

Nini kifanyike kudhibiti uchakavu wa fedha?

Katika jamii zinazotegemea matumizi ya fedha taslimu, uchakavu wa fedha si jambo la kushangaza. Noti zilizobadilika rangi, maandishi yasiyosomeka vizuri, baadhi ya namba kufutika, au noti zilizochorwa kwa kalamu ni hali tunazoziona mara kwa mara. Ingawa tumeyazoea, hali hii si sawa. Ni ishara ya mtindo usio mzuri wa kutunza fedha unaochangia uchakavu wake. Kuna umuhimu…

Read More

AKULI ZA KIJIWENI: Vita ya mastraika Ligi Kuu sio mchezo

MSIMU uliopita nyota wawili wanaocheza nafasi ya kiungo, Feisal Salum na Stephane Aziz Ki ndio walishindana katika kuwania ufungaji bora wa Ligi Kuu. Mshindi wa kinyang’anyiro hicho akawa ni Stephane Aziz Ki ambaye alimaliza msimu akiwa amefunga mabao 21 na Feisal Salum akamaliza katika nafasi ya pili akifumania nyavu mara 19. Hapa kijiweni kukaibuka makundi…

Read More

38 wafariki kwa ajali ya ndege, 29 wanusurika

Ndege ya Azerbaijan iliyokuwa imebeba abiria 67 imeanguka karibu na mji wa Aktau nchini Kazakhstan na kusababisha vifo vya watu 38. Ndege hiyo ilianguka jana, Desemba 25, 2024 na watu 29 waliokolewa, wakiwemo watoto wawili waliokuwa kwenye mabaki ya ndege hiyo. Naibu Waziri Mkuu wa Kazakhstan, Kanat Bozumbayev, amesema manusura 11 kati yao wapo walio …

Read More

Ubunge viti maalumu; Wadau wataka ukomo wa muda

Wakati Taifa likielekea kwenye uchaguzi mkuu wa 2025, wadau wamependekeza ukomo wa muda kwa wabunge wa viti maalumu, wakitaka iwe ni vipindi viwili vya miaka mitano pekee ili kutoa nafasi kwa wabunge hao kwenda kugombea majimboni. Suala hilo limeibua mjadala mpana ambapo baadhi ya wanasiasa, wanazuoni na wanaharakati wa haki za wanawake wanaeleza umuhimu wa…

Read More

CAF yazilainishia Simba, Bravos kwa Sfaxien CAF

Shirikisho la Soka Afrika (CAF), limeishushia rungu klabu ya CS Sfaxien ya Tunisia ikiitoza faini na kuzuia mashabiki wa timu hiyo katika mechi mbili za Kombe la Shirikisho Afrika. CAF imeikuta na hatia Sfaxien kutokana na vurugu za mashabiki wa timu hiyo katika  mchezo wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika ikiwa nyumbani…

Read More