Kauli ya Warioba kifo cha Jaji Werema

Dar es Salaam. Jaji mstaafu, Joseph Warioba amemzungumzia Mwanasheria Mkuu wa Serikali, mstaafu Jaji Frederick Werema akisema ni miongoni mwa watu wachache aliowahi kufanya nao kazi kwa uaminifu, weledi, uadilifu na uwazi mkubwa. “Pamoja na kwamba amekuwa akitajwa kwenye sakata la Escrow, hakuna mtu anayeweza kutilia shaka uaminifu wake, ni mtu mkweli bahati isiyokuwa nzuri…

Read More

Kocha Singida apewa malengo mazito

UNAWEZA kuona kama mapema hivi lakini sio kwa Singida Black Stars baada ya kumshusha kocha Hamid Miloud na kumwambia anatakiwa kuhakikisha timu inashiriki michuano ya kimataifa msimu ujao. Kocha huyo ambaye ametambulishwa rasmi juzi, amewahi kuifundisha Al-Khaldiya FC, USM Alger na JS Kabylie za kwao Algeria, Al-Salmiya ya Kuwait, Athletico Marseille na ES Vitrolles za…

Read More

Sababu vifo vya watoto ‘swimming pool’

Dodoma. Baada ya kuripotiwa matukio ya watoto wawili kupoteza maisha kwenye mabwawa ya kuogelea (swimming pool) katika Sikukuu ya Krismasi, angalizo limetolewa kuhusu matumizi ya mabwawa hayo ikielezwa, kuna namna yanasababisha vifo hivyo. Katika kipindi hiki cha msimu wa mapumziko ya mwisho wa mwaka watoto wa maeneo mbalimbali ukiwamo mkoani Dodoma, wamekuwa wakiyatumia mabwawa hayo…

Read More

Arajiga, Komba waula Chan 2025

Ahmed Arajiga na Frank Komba ni miongoni mwa marefa 63 walioteuliwa katika orodha ya awali ya waamuzi watakaofanyiwa mchujo wa kuchezesha fainali za mataifa ya Afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za ndani (Chan) 2024 zitakazofanyika kuanzia Februari Mosi hadi Februari 28 mwakani katika nchi za Tanzania, Kenya na Uganda. Orodha hiyo ya awali ina marefa…

Read More

Alama nne za kukumbukwa za Jaji Werema

Dodoma. Maisha ya miaka 69 ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali mstaafu, Jaji Frederick Werema yamehitimishwa, akiacha alama nne za kukumbukwa. Jaji Werema aliyefariki dunia Desemba 30, 2024 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) alikokuwa akipatiwa matibabu, ameacha alama katika nyanja ya sheria ndani na nje ya nchi ambazo zitaendelea kuishi. Jaji Werema atakumbukwa kwa namna…

Read More

DC Mgomi akumbusha jamii kujitoa kwa ajili ya wengine

Na Mwandishi Wetu Mkuu wa Wilaya ya Ileje Mheshimiwa Farida Mgomi amewaasa wananchi kuwa na utamaduni wa kuwashika mkono na kutoa misaada kwa makundi yenye uhitaji maalumu katika jamii, kwani kwa kufanya hivyo watakuwa wameigusa jamii na kuipa Faraja katika nyakati zote. Akizungumza wakati wa hafla ya kutoa misaada katika kituo cha Watoto yatima cha…

Read More

Polisi, Stein Warriors balaa pale juu

TIMU ya kikapu ya Polisi na Stein Warriors zinaendelea kukabana koo katika nafasi mbili za juu za Ligi ya Kikapu ya Daraja la Kwanza inayoendelea katika Uwanja wa Bandari, Kurasini, Dar es Salaam. Katika msimamo wa ligi unaonyesha Polisi inaongoza katika ligi hiyo ikiwa na pointi 26, huku Stein Warriors ikishika nafasi ya pili kwa…

Read More