Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: December 2024

  • Home
  • 2024
  • December
  • Page 4
Habari

Kauli ya Warioba kifo cha Jaji Werema

December 31, 2024 Admin

Dar es Salaam. Jaji mstaafu, Joseph Warioba amemzungumzia Mwanasheria Mkuu wa Serikali, mstaafu Jaji Frederick Werema akisema ni miongoni mwa watu wachache aliowahi kufanya nao

Read More
Michezo

Kocha Singida apewa malengo mazito

December 31, 2024 Admin

UNAWEZA kuona kama mapema hivi lakini sio kwa Singida Black Stars baada ya kumshusha kocha Hamid Miloud na kumwambia anatakiwa kuhakikisha timu inashiriki michuano ya

Read More
Habari

Sababu vifo vya watoto ‘swimming pool’

December 31, 2024 Admin

Dodoma. Baada ya kuripotiwa matukio ya watoto wawili kupoteza maisha kwenye mabwawa ya kuogelea (swimming pool) katika Sikukuu ya Krismasi, angalizo limetolewa kuhusu matumizi ya

Read More
Habari

WAZIRI KOMBO ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO UBALOZI WA INDIA

December 31, 2024 Admin

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amesaini Kitabu cha Maombolezo Ubalozi wa India nchini kufuatia

Read More
Michezo

Arajiga, Komba waula Chan 2025

December 31, 2024 Admin

Ahmed Arajiga na Frank Komba ni miongoni mwa marefa 63 walioteuliwa katika orodha ya awali ya waamuzi watakaofanyiwa mchujo wa kuchezesha fainali za mataifa ya

Read More
Habari

 ZOEZI LA KULIPA FIDIA WANANCHI NGOMBO LINAKWENDA VIZURI : DC MALINYI

December 31, 2024 Admin

Na Beatus Maganja, Malinyi. Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mhe. Sebastian Waryuba amesema zoezi la kuwalipa fidia wananchi wa Kijiji cha Ngombo kilichopo ndani ya

Read More
Habari

Alama nne za kukumbukwa za Jaji Werema

December 31, 2024 Admin

Dodoma. Maisha ya miaka 69 ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali mstaafu, Jaji Frederick Werema yamehitimishwa, akiacha alama nne za kukumbukwa. Jaji Werema aliyefariki dunia Desemba

Read More
Habari

DC Mgomi akumbusha jamii kujitoa kwa ajili ya wengine

December 31, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu Mkuu wa Wilaya ya Ileje Mheshimiwa Farida Mgomi amewaasa wananchi kuwa na utamaduni wa kuwashika mkono na kutoa misaada kwa makundi yenye

Read More
Michezo

Polisi, Stein Warriors balaa pale juu

December 31, 2024 Admin

TIMU ya kikapu ya Polisi na Stein Warriors zinaendelea kukabana koo katika nafasi mbili za juu za Ligi ya Kikapu ya Daraja la Kwanza inayoendelea

Read More
Habari

Simulizi kata ya Ng’ambi ilivyofanikiwa mapambano mabadiliko ya tabianchi

December 31, 2024 Admin

Mpwapwa. Katika Kata ya Ng’hambi, Wilaya ya Mpwapwa, kama maeneo mengine athari za mabadiliko ya tabianchi zilidhihiri na shughuli za watu kuathiriwa. Kata hii iliyokuwa

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 3 4 5 … 256 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.