Trump awatakia Xmas njema “wapuuzi” wa mrengo wa kushoto – DW – 25.12.2024

Rais wa Marekani Joe Biden na mrithi wake ajae, Donald Trump, walitoa ujumbe tofauti sana wa Krismasi Jumatano, huku Trump akisisitiza tena matamshi yake ya hivi karibuni kuhusu kuudhibiti Mfereji wa Panama, kuinunua Greenland, na kuiunganisha Canada na Marekani.  Biden alichapisha ujumbe mfupi wa msimu wa Krismasi uliolenga “wema na huruma,” wakati Trump alituma machapisho…

Read More

Yanga haipoi, yaendeleza moto Ligi Kuu

YANGA leo imeendeleza moto katika Ligi Kuu Bara baada ya kuifumua Dodoma Jiji kwa mabao 4-0, huku Prince Dube akiendelea alipoachia tangu alipoinasa ‘code’ ya mabao kwa kufikisha mechi ya nne mfululizo akifikisha mabao sita. Dube alianza kufunga bao la kwanza dhidi yaTP Mazembe wakati aikiipa Yanga sare ya 1-1 ugenini kabla ya kufunga mechi…

Read More

Hatma ya KenGold iko hapa!

KOCHA wa KenGold, Omary Kapilima amesema minne ijayo ya Ligi Kuu Bara ndiyo itakayotoa hatma ya kikosi hicho kama kitasalia msimu ujao au kitashuka daraja. Kauli ya kocha huyo inajiri baada ya timu hiyo kuchapwa mabao 2-1 jana na Singida Black Stars ikiwa ni kichapo cha 12 katika michezo 16 iliyocheza, baada ya kushinda mmoja…

Read More

Mchanja, Mfilipino kazi ipo KO ya Mama

BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Yohana Mchanja na mpinzani wake Miel Farjado wa Ufilipino watakabiliana katika pambano la kimataifa la kuwania mkanda wa ubingwa wa WBO Global huku kila mmoja akitamba kumchakaza mpinzani wake. Mabondia wamepima uzito leo katika Ufukwe wa Coco tayari kwa pambano hilo la Knockut ya Mama litakalofanyika kesho Alhamisi kwenye…

Read More