Mchanja, Mfilipino kasi ipo KO ya Mama

BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Yohana Mchanja na mpinzani wake Miel Farjado wa Ufilipino watakabiliana katika pambano la kimataifa la kuwania mkanda wa ubingwa wa WBO Global huku kila mmoja akitamba kumchakaza mpinzani wake. Mabondia wamepima uzito leo katika Ufukwe wa Coco tayari kwa pambano hilo la Knockut ya Mama litakalofanyika kesho Alhamisi kwenye…

Read More

Mabehewa 264 ya mizigo treni ya SGR yawasili Dar

Dar es Salaam. Mabehewa ya mizigo 264 yatakayotumika katika reli ya kisasa (SGR) yaliyotengenezwa nchini China yamewasili katika Bandari ya Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), mabehewa hayo yaliwasili nchini jana Jumanne, Desemba 24, 2024. Novemba 15, 2024, TRC ilitoa taarifa kwa umma ikieleza meli iliyokuwa imebeba mabehewa hayo iling’oa…

Read More

Milioni 50 zakwamisha basi Coastal Union

KIASI cha Sh50 milioni zilizotakiwa kulipwa Mamlaka la Mapato Tanzania (TRA), zimedaiwa kukwamisha basi la Coastal Union kutoka bandarini Dar es Salaam na sasa mabosi wapya wanakuna vichwa kukamilisha ndoto ya kumiliki usafiri wa maana wa wachezaji na maofisa wa timu hiyo. Mzabuni wa Coastal ambaye pia ni mdhamini wa klabu hiyo kutoka kampuni ya…

Read More

Eneo la soko Kurasini lauzwa kinyemela

Dar es Salaam. Soko la Kurasini lililopo Mtaa wa Shimo la Udongo, wilayani Temeke limeuzwa, mwananchi limefahamishwa. Soko hilo lenye eneo la mita za mraba 400 awali ilikanushwa kuuzwa kwa mwekezaji na uongozi wa wafanyabiashara sokoni hapo. Mwananchi limebaini vibanda vilivyokuwapo sokoni hapo vimebomolewa na kumezungushwa uzio wa mabati. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya…

Read More

Viongozi wa dini watoa angalizo uchaguzi mkuu 2025

Dar/Mikoani. Viongozi mbalimbali wa dini ya Kikristo nchini wametumia mkesha na sikukuu ya Krismasi kuiasa jamii ya Watanzania kuhusu mwelekeo wa uchaguzi mkuu mwakani, wakirejea yaliyojitokeza kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa Novemba 27, 2024. Kwa nyakati tofauti katika mkesha wa Krismasi Desemba 24 na ibada za sikukuu hiyo Desemba 25, viongozi hao pia wamezungumzia…

Read More

Beki Mghana aanza tambo Singida Black Stars

BAADA ya kujiunga na Singida Black Stars, beki Mghana Frank Assink amesema hajafanya kosa kujiunga na timu hiyo na anaiona nafasi yake kikosi cha kwanza. Assink amejiunga na Black Stars kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea Inter Allies kwenye nafasi anayocheza anaungana na Tra Bi, Edward Manyama, Keneddy Juma. Akizungumza na Mwanaspoti, alisema anaheshimu uwezo…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Mipaka ya utawala na dosari zake

Ngonjera, mabango, vitabu na historia nzima ya Tanzania imejaa sifa ya amani na utulivu. Zamani misafara ya wafanyabiashara, watafiti na wamisionari waliopita hapa, ilikuwa na kila sababu ya kuimezea mate nchi hii iliyojaaliwa bahari, mito, maziwa, milima na mabonde ya kuvutia. Kama vile haitoshi, ardhi yenye rutuba na madini pamoja na misitu iliyojaa wanyama wa…

Read More