Kocha Serengeti afichua siri ya mafanikio

KOCHA wa timu ya taifa la Tanzania kwa vijana chini ya miaka 17 ‘Serengeti Boys’,  Aggrey Morris, amefichua siri ya mafanikio ya timu yake kufuzu kwa mashindano ya Afcon U17 2025, kwenye Kanda ya Cecafa baada ya kuifunga Sudan Kusini na kutinga fainali huko Uganda. Tanzania na Uganda zimejihakikishia nafasi ya kuwakilisha Kanda ya Cecafa…

Read More

Kocha Alliance apiga mkwara | Mwanaspoti

BAADA ya kuanza vyema kibarua chake ndani ya Alliance Girls kwa kushinda mechi mbili za Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Sultan Juma amesema mechi mbili zijazo dhidi ya Simba Queens na Ceassia Queens ni za kufa au kupona kwani anahitaji alama sita. Juma aliyerithi mikoba ya Ezekiel Chobanka aliyetimkia…

Read More

Ceassia wanaitaka nne bora WPL

UONGOZI wa Klabu ya Ceassia Queens kutoka Iringa, umempa kibarua cha kuhakikisha anamaliza katika nafasi nne za juu kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara, kocha mpya wa timu hiyo, Ezekiel Chobanka aliyetua wiki chache zilizopita akitokea Alliance Girls ya Mwanza. Ili kuhakikisha timu hiyo inamaliza katika nafasi nne za juu, inapaswa kuchuana…

Read More

Askofu Malasusa agusia utekaji, asema unatia hofu

Dar es Salaam. Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Alex Malasusa amegusia matukio ya utekaji yanayoripotiwa nchini akisema, Watanzania wamepitia kipindi kigumu. Amesema tangu azaliwe kwake hajawahi kusikia watu wakitekwa. Amesema hayo leo Desemba 25, 2024 katika Kanisa la Azania Front, jijini Dar es Salaam wakati wa ibada ya Krismasi…

Read More

Ramovic ashtukia mtego Dodoma, atoa tahadhari

YANGA ina rekodi nzuri inapocheza dhidi ya Dodoma Jiji katika mechi za Ligi Kuu Bara kwani haijawahi kupoteza tangu zianze kukutana Desemba 19, 2020. Kocha Mkuu wa Yanga, Sead Ramovic analitambua hilo, lakini ametoa kauli ambayo inaashiria hataki kutembelea rekodi hiyo, zaidi kuona mapambano zaidi. Ramovic ambaye huo utakuwa ni mchezo wa nne katika ligi…

Read More

Mikate yaadimika Moshi, sababu yatajwa

Moshi. Kufuatia wingi wa watu waliokuja kusherehekea sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya mkoani Kilimanjaro, bidhaa aina ya mkate imeadimika katika maduka makubwa (supermarkets) mjini Moshi  na kusababisha adha  kwa watumiaji wa bidhaa hiyo. Bidhaa hiyo ambayo hutumiwa na familia nyingi imekuwa adimu kuanzia jioni ya leo, Desemba 24, 2024 na baadhi ya watu waliofika…

Read More

Usiyojua kuhusu Buza kwa Mpalange, Mama Kibonge

Dar es Salaam. Majina ya Buza kwa Mama Kibonge, Kwa Lulenge na Kwa Mpalange si mageni jijini Dar es Salaam kutokana na umaarufu uliojizolea. Umaarufu wake unakuja kutokana na waanzilishi wake, tafsiri hasi ya majina hayo sambamba na aina ya maisha wanayoishi wenyeji wa maeneo hayo yaliyomo katika Kata ya Buza, Wilaya ya Temeke.  Ukienda…

Read More

Wakristo duniani washerehekea sikukuu ya Krismasi – DW – 25.12.2024

Wakristo duniani kote wanaadhimisha siku kuu ya Krismasi. Kulingana na imani ya Kikristo, Krismasi ni siku aliyozaliwa Yesu Kristo katika mji mtakatifu wa Bethlehem nchini Israel. Wakristo wanaamini kuzaliwa kwa Yesu kuliwaletea ukombozi. Mamia ya watu walikusanyika katika kanisa la Uzawa katika mji mtakatifu kwa Wakristo wa Bethlehem Jumanne kuadhimisha Krismasi nyingine iliyogubikwa na vita katika Ukanda wa…

Read More