KKKT yahubiri nuru ya Taifa mkesha wa Krismasi

Dar es Salaam. Wakristo wametakiwa kutafakari na kutenda yaliyo mema ili kuyaweka maisha yao na Taifa lao katika nuru, wakati wa kusherehekea Sikukuu ya Krismas. Imeelezwa kuwa, nuru huongoza maisha ya mtu, huleta furaha, amani na upendo na kwamba Taifa lenye nuru hujawa mafanikio. Hayo yamesemwa leo Jumanne, Desemba 24, 2024 na Msaidizi wa Askofu…

Read More

Mikutano Mitatu ya Mwaka huu ya Umoja wa Mataifa Imeweka Hatua ya COP30 Kubadilisha Mifumo ya Chakula – Masuala ya Ulimwenguni

12 Novemba 2024, Baku, Azerbaijan. Mkurugenzi Mkuu wa FAO QU Dongyu na Ismahane Elouafi, EMD wa CGIAR wanahudhuria uzinduzi wa Banda la Chakula na Kilimo FAO/CGIAR wakati wa COP29. Credit: FAO/Alessandra Benedetti Maoni na Cargele Masso, Aditi Mukherji (nairobi, kenya) Jumanne, Desemba 24, 2024 Inter Press Service NAIROBI, Kenya, Desemba 24 (IPS) – Mwaka huu…

Read More

Shambulio la Magdeburg linavyochochea mrengo mkali Ujerumani – DW – 24.12.2024

Lengo la Talib A., mtuhumiwa wa shambulio hilo la soko la Krismasi mjini Magdeburg, bado halijulikani wazi. Kilichothibitishwa ni kwamba yeye ni raia wa Saudi Arabia na yuko kizuizini.  Hata hivyo, mara baada ya shambulio hilo, wafuasi wa mrengo wa kulia nchini Ujerumani walianza kuwachokoza wahamiaji.  “Sijawahi kushuhudia mazingira yenye chuki na vitisho vya kiwango…

Read More

Watanzania wahimizwa kusoma vitabu wapate mbinu kukua kiuchumi

Dar es Salaam. Watanzania wametakiwa kuwa na utamaduni wa kujisomea vitabu kwa ajili ya kujiongezea maarifa ikiwamo mbinu za kujiendeleza kiuchumi. Utamaduni wa kusoma vitabu utaondoa dhana iliyozoeleka kwamba, ukitaka kumficha Mwafrika maarifa, yaweke kwenye vitabu. Hayo yamebainishwa na Kamishna wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP), David Kafulila wakati wa…

Read More

Baba aliyefungwa kwa kuzini na mwanaye aachiwa huru

Sumbawanga. Ni mtihani mzito, ndivyo unavyoweza kueleza baada ya baba aliyekuwa akitumikia kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kuzini na mwanaye wa kumzaa, kuachiwa huru na Mahakama ya Rufani Tanzania. Inaweza kusemwa ni mtihani kwa sababu mama mzazi wa mtoto alisimama bega kwa bega na mumewe na akatoa ushahidi akiwa ni shahidi wa…

Read More

Abiria wanaokwenda Mara wafurika kituoni

Mwanza. Ule utamaduni wa watu kurejea majumbani ‘kuhesabiwa’ kipindi cha mwishoni mwa mwaka siyo kwa  wenyeji wa Mkoa wa Kilimanjaro pekee, bali hata kwa jamii ya Mkoa wa Mara. Leo Jumanne,  Desemba 24, 2024 katika Kituo cha Mabasi cha Nyamhongolo Wilaya ya  Ilemela mkoani Mwanza, watu wenye asili ya Mkoa wa Mara wamejitokeza kutafuta usafiri…

Read More