Mchuano waanza mabaraza Chadema | Mwananchi

Dar es Salaam. Baada ya vigogo wanne wa Chadema kuchukua fomu kuwania uenyekiti wa chama hicho ngazi ya taifa, mchuano sasa umeanza kupamba moto kwenye nafasi za mabaraza ya chama hicho kikuu cha upinzani nchini. Nafasi hizo ni katika Baraza la Wazee la Chadema (Bazecha), Baraza la Vijana (Bavicha) na Baraza la Wanawake (Bawacha). Baadhi…

Read More

Polisi afariki dunia kwa kugongwa na lori akiwa kwenye pikipiki

Babati. Askari polisi wa Kituo cha Kibaya wilayani Kiteto Mkoa wa Manyara, Geogre Mwakambonjo (40) amefariki dunia baada ya kugongwa na lori alipokuwa amepanda kwenye pikipiki. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACP) Ahmed Makarani  amesema tukio hilo limetokea leo Jumanne Desemba 24 mwaka 2024. Kamanda Makarani ameeleza kuwa askari polisi…

Read More

Bodi ya michezo ya kubahatisha (GBT) yazindua kampeni Fichua, Tukomeshe Mashine Haramu za Dubwi, kamata kamata kufanyika nchi nzima

Na Mwandishi wetu Dar es Salaam. Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania (GBT) kwa kushirikiana na wenyeviti wa serikali za mitaa wa mkoa wa Dar es Salaam wamezindua kampeni maalum ya kutokomeza uchezaji wa mashine maarufu za dubwi kinyume na utaratibu. Kampeni hiyo iliyopewa jina la Fichua, Tukomeshe Mashine Haramu ilizunduliwa jijini jana ikienda sambamba…

Read More

Wadau watoa maoni tofauti makachu ikifungiwa, watakaorejea kusaini mkataba

Unguja. Wakati Mamlaka ya Uhifadhi na Usimamizi wa Mji Mkongwe ikisitisha kwa muda mchezo wa makachu Forodhani, vijana na wadau wanaojihusisha na mchezo huo wameeleza athari za kiuchumi na kwenye sekta ya utalii. Hata hivyo, mamlaka hiyo imetangaza kuwa itasainisha mikataba maalumu na wale watakaokubaliana na masharti ndiyo watakaoruhusiwa kurejea na watakaoshindwa, hawataruhusiwa tena kushiriki…

Read More

Matano ya kuzingatiwa Kariakoo ikianza biashara saa 24

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikitangaza Januari 2025 kuanza utaratibu wa kufanya biashara kwa saa 24 eneo la Kariakoo, wafanyabiashara wametaja mambo matano ambayo yakifanyika mchakato huo utafanikiwa. Mambo hayo ni ulinzi na usalama, changamoto za chemba za maji taka zifanyiwe kazi, umeme wa uhakika, benki kuongeza muda wa kutoa huduma na njia zilizopo maeneo…

Read More

Polisi timamu kwa ulinzi Krismasi, Mwaka Mpya

Dar/Mikoani. Wakati Watanzania wakisherehekea sikukuu ya Krismasi leo Desemba 25, 2024, Jeshi la Polisi limewahakikishia usalama likiwataka wananchi kuchukua tahadhari, hasa kuwalinda watoto. Msimu wa sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya, matukio ya uhalifu yamekuwa yakiongezeka katika maeneo tofauti nchini, kutokana na watu wengi kuwa kwenye mikesha na sherehe wakiacha nyumba bila uangalizi. Pia, baadhi…

Read More

Ahoua aibeba Simba ikijiimarisha kileleni

SIMBA imeokota pointi tatu zingine ngumu kwenye mchezo uliotoa mshindi dakika za jioni ikiichapa JKT Tanzania kwa bao 1-0, ushindi ukiendelea kuwaweka kileleni katika sikukuu ya Krismasi inayoadhimishwa kesho Jumatano Desemba 25. Bao la kiungo mshambuliaji Jean Charles Ahoua aliyetokea benchi kuchukua nafasi ya Awesu Awesu akilifunga dakika ya 90+5 kwa mkwaju wa penalti baada…

Read More

'Je, unaendelea na kifo?' Idadi kubwa ya vita huko Gaza – Masuala ya Ulimwenguni

“Timu yangu – marafiki zangu – ndio sababu ninasimama hapa nilipo leo. Hii, bila shaka, itabadilika na kuwa heshima kwao, lakini pia kwa Gaza nilibahatika kujua. Wale ambao wameijua Gaza wataelewa ninachomaanisha. Gaza ambayo ilikuwepo kabla… kabla ya uharibifu usiofikirika ambao sasa unafunika kumbukumbu yake. Miezi michache ya kwanza ya vita hivi vya kikatili ilikuwa…

Read More

Chombo cha anga za juu chalikaribia jua

Chombo cha anga za juu cha Shirika la Anga la Marekani (Nasa), Parker Solar Probe (PSP) kimeendelea kulikaribia jua hatua inayotaja kuweka historia ya vyombo vya anga kufikia hatua hiyo. PSP ni chombo cha angani cha Nasa kilichozinduliwa mwaka 2018 kwa lengo la kuchunguza tabaka la nje la jua (corona ya Jua), ambayo ni anga…

Read More

Bodi ya nyama yatoa tahadhari kwa walaji na wafanyabishara

Dodoma. Bodi ya Nyama Tanzania (TMB) imewataka walaji wa nyama katika kipindi hiki cha sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya kuhakikisha kitoweo hicho kina alama ya mihuri inayoonesha imekaguliwa ili kuepuka madhara yatokanayo na ulaji wa nyama isiyokaguliwa. Aidha, wafanyabiashara wa nyama wametakiwa kuacha kuchinja mifugo katika machinjio yasiyosajiliwa. TMB imesisitiza kuwa, wataalamu wake watafanya…

Read More