Wanne wafariki kwa shoti ya umeme msibani

Handeni. Watu wanne wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa baada ya kupigwa na shoti ya umeme wakati wakifunga maturubai msibani Mtaa wa Ngugwini, Halmashauri ya Mji wa Handeni mkoani Tanga. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Almachius Mchunguzi amesema tukio hilo limetokea leo Jumanne saa 3:40 asubuhi katika mtaa huo. “Waliofariki dunia katika tukio hilo ni …

Read More

Nnkoo, bintiye kuzikwa Desemba 28

Arusha. Aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu Ofisi ya Msajili wa Hazina, Amos Nnko na binti yake Maureen Nnko, waliofariki dunia kwa ajali ya gari watazikwa Jumamosi, Desemba 28, 2024. Amos na binti yake wa kwanza walifariki dunia katika ajali iliyotokea maeneo ya Same, mkoani Kilimanjaro juzi mchana Desemba 22, 2024. Akizungumza na…

Read More

Jeshi la Polisi: Sherekeheni sikukuu kwa utulivu na amani

JESHI la Polisi limejipanga vizuri kuimarisha usalama katika sikukuu za Christimas na Mwaka mpya kwa kushirikiana na wananchi, viongozi wa nyumba za ibada, kamati za usalama za nyumba za Ibada ambako Ibada mbalimbali zitafanyika na viongozi wa serikali za mitaa ili kuhakikisha kila mmoja anasheherekea kwa amani na utulivu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)….

Read More

Siku 39 Ramovic alivyoibadili Yanga

Sead Ramovic alitambulishwa kuwa Kocha Mkuu wa Yanga ikiwa ni muda mchache baada ya klabu hiyo kutangaza kuachana na Miguel Gamondi. Ramovic ambaye ametua Yanga akitokea TS Galaxy ya Afrika Kusini, leo Desemba 24, 2024 ametimiza siku 39 tangu utambulisho wake huo ufanyike huku akifanikiwa kuiongoza timu hiyo kucheza mechi sita za kimashindano. Katika mechi…

Read More

Liverpool yapewa nafasi kubwa ya ubingwa EPL

  Meridianbet leo hii inaangazia sababu za Liverpool kutoka pale Uingereza kwanini inapewa nafasi kubwa ya kuibuka mabingwa wa EPL lakini pia na mataji mengine kutokana na kiwango ambacho wanacho. Klabu ya Liverpool FC imekuwa ikifanya vizuri chini ya uongozi wa kocha mkuu mpya Arne Slot, ambaye alichukua majukumu ya kuongoza klabu hiyo maarufu ya…

Read More

Ujenzi nyumba za wahudumu wa afya Peramiho waboresha huduma

Songea. Kukamilika kwa ujenzi wa nyumba za watumishi wa afya wa zahanati ya Kijiji cha Mdunduwaro, Peramiho mkoani Ruvuma, kumewarahisishia wananchi kupata huduma kwa wakati na kuokoa maisha ya wajawazito. Kabla ya kuwepo nyumba hizo zilizojengwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf), wahudumu wa afya waliishi mbali na ilipo zahanati hiyo, hivyo kusababisha kukosekana…

Read More

Polisi: Waharifu 2024 wapungua mkoani Songwe

  JESHI la Polisi Mkoa wa Songwe kwa kipindi cha mwezi Januari hadi Disemba, 2024 liliwashikilia watuhumiwa 2,827 ukilinganisha na kipindi kama hicho cha mwaka 2023 ambapo jumla ya watuhumiwa 3,238 walikamatwa ikiwa ni pungufu ya watuhumiwa 411 sawa na 6.8% kwa tuhuma ya kujihusisha na matukio ya Ukatili wa kijinsia, Uvunjaji, Wizi, mauaji, utapeli…

Read More

Wenye simu hizi kutopata WhatsApp mwaka mpya

Dar es Salaam. Kama wewe ni mtumiaji wa simu za Android za matoleo ya zamani na unahitaji kuendelea kutumia WhatsApp huna budi kuandaa bajeti ya pesa kununua simu nyingine kwa kuwa mtandao huo uko mbioni kuacha kufanya kazi kwenye simu hizo. WhatsApp itaacha kufanya kazi kuanzia Januari mosi 2025 kwa sababu simu hizo zenye mfumo…

Read More