BoT yasisitiza marufuku makato katika malipo ya kadi

Dar es Salaam. Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imepigilia msumari katazo lake la kutoza ada au gharama za ziada katika miamala inayofanywa kwa kutumia mashine za malipo ya wafanyabiashara (POS) huku ikiwataka wananchi kutoa taarifa watakapokutana na hali hiyo. BoT imetoa tangazo hilo jana Desemba 23, 2024 ikiwa ni siku 160 tangu katazo hili litolewe …

Read More

SMAUJATA yamuunga mkono RC Mtaka kupambana na ukatili Njombe

Kutokana na vitendo vya ukatilia vinavyoendelea kukithiri nchini Jumuiya ya Shujaa wa Maendeleo na Ustawi wa Jamii Taifa (SMAUJATA) imewataka Watanzania kuwa na moyo wa ustahimilivu wanapokutwa na changamoto mbalimbali badala ya kuchukua maamuzi yanayoweza kuigharimu jamii katika maisha. Wito huo umetolewa na mkurugenzi wa uenezi,vijana na michezo wa Jumuiya hiyo Ndugu Johnson Mgimba hii…

Read More

Wenye simu hizi kupotea WhatsApp mwaka mpya

Dar es Salaam. Kama wewe ni mtumiaji wa simu za Android za matoleo ya zamani na unahitaji kuendelea kutumia WhatsApp huna budi kuandaa bajeti ya pesa kununua simu nyingine kwa kuwa mtandao huo uko mbioni kuacha kufanya kazi kwenye simu hizo. WhatsApp itaacha kufanya kazi kuanzia Januari mosi 2025 kwa sababu simu hizo zenye mfumo…

Read More

Spika Maulid ataka tathmini uwekezaji nyumba za biashara

Unguja. Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Zubeir Maulid amezitaka taasisi zinazohusika na sekta ya utalii kufanya tathmini ya uwekezaji wa nyumba za biashara kwa wageni na kuishauri Serikali juu ya mwelekeo sahihi wa kuimarisha utalii kwa kuzingatia masilahi ya Taifa. Ametoa kauli hiyo leo Desemba 24, 2024 wakati akizindua Hoteli ya Moyo Mzuri Mkoa…

Read More

Watoto 200 Dar, Pwani Washerehekea Kikapu 

ZAIDI ya watoto 200 kutoka mkoani Pwani na Dar es Salaam wameshiriki maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mpira wa Kikapu. Maadhimisho hayo yalidhaminiwa na Basketball For Good Foundation yalifanyika katika kituo cha kulelea watoto yatima cha Shalom kilichopo Kibaha, Pwani. Balozi wa Basketball For Good nchini, Bahati Mgunda alisema makocha 15 walitoa mafunzo kwa…

Read More

Mkosa, Mushi waondoka na simulizi Kenya

BAADA ya kurejea nchini wakitokea Kenya, nyota timu ya Dar City, Amin Mkosa na Jonas Mushi anayeichezea ABC wameondoka na simulizi katika mashindano ya kikapu ya Afrika Mashariki na Kati yaliyomalizika hivi karibuni. Wakizungumza na Mwanaspoti kwa nyakati tofauti wachezaji hayo nyota wa kikapu nchini walisema kuna mambo mazito na tena ya maana waliyojifunza ambayo…

Read More

Rais wa Ujerumani atoa wito wa umoja – DW – 24.12.2024

Rais wa Ujerumani Frank-Walter Steinmeier katika hotuba yake ya Krismasi mwaka huu wa 2024 ametoa wito wa umoja kwa kuzingatia matukio ya hivi majuzi nchini humo. Steinmeier alianza hotuba yake kwa kuzungumza juu ya shambulio baya katika soko la Krismasi katika mji wa Magdeburg, mashariki mwa Ujerumani. “Kivuli cheusi kimetanda kwenye Krismasi hii,” alisema, akiongeza…

Read More

‘Bwana harusi’ afikishwa kortini akidaiwa kuiba gari

Dar es Salaam. Mfanyabiashara Vicent Masawe (36) aliyekuwa bwana harusi, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu mashtaka mawili yanayomkabili likiwamo la wizi wa gari. Masawe amefikishwa mahakamani leo Jumanne Desemba 24, 2024 kwa tuhuma za wizi wa gari aina ya Toyota Ractis lenye thamani ya Sh15milioni aliyoazimwa na Silvester Massawe kwa ajili ya…

Read More

Kafulila azindua kitabu cha ‘I Am Positioned’ Dar

Na Mwandishi Wetu Watanzania wametakiwa kuwa na utamaduni wa kujisomea vitabu kwa ajili ya kujiongezea maarifa mbalimbali ikiwemo mbinu za kujiendeleza kiuchumi. Akiongea wakati wa uzinduzi wa kitabu kiitwacho ‘I Am Positioned’ kilichoandikwa na mwandishi Leah Karunde, ambaye pia ni mshauri wa masuala ya kodi, Kamishna wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta…

Read More