Mbeya Kwanza yaanza na watatu

KATIKA kuhakikisha Mbeya Kwanza inafanya vizuri ili kutimiza malengo ya kucheza Ligi Kuu Bara msimu ujao, mabosi wa timu hiyo wameanza kuimarisha kikosi hicho kwenye dirisha hili dogo la usajili, baada ya kupata saini ya nyota watatu wapya. Nyota wapya waliosajiliwa na timu hiyo yenye makazi yake mkoani Mtwara ni beki wa kati, Hussein Abdullah…

Read More

Ajali ya lori, Coaster yaua wanane, kujeruhi Handeni

Handeni. Watu wanane wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha lori na Toyota Coaster iliyotokea Kijiji cha Michungwani, Kata ya Segera wilayani Handeni. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Almachius Mchunguzi amethibitisha kutokea kwa ajali leo Desemba 24, 2024, saa 11:00 asubuhi, Kitongoji cha Kwachuma, Kata ya Segera, Wilaya ya Handeni, Barabara Kuu ya…

Read More

Ufadhili Ubunifu wa Kufungua Uchumi wa Bluu wa Afrika – Masuala ya Ulimwenguni

Mikoko, Madagaska. Credit: Rod Waddington Maoni na Jean-Paul Adam (umoja wa mataifa) Jumanne, Desemba 24, 2024 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Desemba 24 (IPS) – Kupata ufadhili mpya kwa manufaa ya kimataifa kumekuwa na changamoto zaidi kuliko hapo awali. Mazungumzo katika Kongamano la COP16 lililohitimishwa hivi majuzi kuhusu Asili na Bioanuwai yalishindwa kufikia makubaliano…

Read More

Madenge aachiwa msala Biashara Utd

HALI imezidi kuwa mbaya zaidi kwa Biashara United ya mkoani Mara baada ya aliyekuwa kocha wa kikosi hicho, Mussa Rashid kuondoka kutokana na ukata unaoikabili, ikiwa ni siku chache baada ya mastaa wengine wanne pia kutimka kikosini. Akizungumza na Mwanaspoti, Mussa alisema kwa sasa amejiweka pembeni na timu hiyo na asingependa kuzungumzia jambo lolote huku…

Read More

Profesa Janabi: Wakazi wa Rombo kunyweni maji

Rombo. Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Muhimbili na Mshauri wa Rais wa Masuala ya Afya na Tiba, Profesa Mohamed Janabi, amewasisitiza wakazi wa Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro kunywa maji akisema mandhari ya maeneo ya juu ya mlima husababisha damu kuwa nzito. Akizungumza na wakazi hao jana Jumatatu Desemba 23, 2024, Profesa Janabi amesema katika…

Read More

Raizin Hafidh kiroho safi Mtibwa

MSHAMBULIAJI wa Mtibwa Sugar, Raizin Hafidh amesema endapo dili lake la kujiunga na Kagera Sugar litakwama dirisha hili, atakichezea kikosi hicho kiroho safi ili kukipambania kurejea tena Ligi Kuu Bara baada ya kushuka daraja msimu uliopita. Akizungumza na Mwanaspoti, Raizin mwenye mabao 10 na kikosi hicho alisema licha ya Kagera Sugar na Pamba kuonyesha nia…

Read More

Kiluvya United bado hakijaeleweka | Mwanaspoti

KICHAPO cha mabao 3-1, ilichokipata Kiluvya United wiki iliyopita dhidi ya Mbuni, imemfanya kocha mkuu wa kikosi hicho, Zulkifri Iddi ‘Mahdi’ kudai sababu kubwa zilizowanyima ushindi ni kutokana na kukosa utulivu wa kumalizia vyema nafasi. Timu hiyo iliyoshinda mchezo mmoja tu kati ya 13 iliyocheza baada ya kutoka sare pia mmoja na kupoteza 11, ilikumbana…

Read More

CAF Diploma A ya Ivo ipo USA, Poland

NYOTA wa zamani wa Yanga, Simba na Azam FC, Ivo Mapunda amesema kwa sasa anaachana na soka kwa muda ili apate nafasi ya kurejea tena darasani kwa ajili ya kuongeza elimu, itakayomfanya kupata sifa ya kuzifundisha timu kutoka Ligi Kuu Bara. Ivo ametoa kauli hiyo baada ya kuachana na kikosi cha Songea United cha mkoani…

Read More

Mgunda avimbia ubora wa Amoah

KOCHA wa Namungo, Juma Mgunda, ameonyesha matumaini makubwa na beki mpya wa kati, Daniel Amoah, ambaye alisajiliwa katika dirisha hili la usajili. Mgunda amesema kuwa Amoah ana uwezo mkubwa na anaweza kuwa chachu ya kuboresha ukuta wa timu yake, ambao hadi sasa umeruhusu mabao 18 katika michezo 15 ya Ligi Kuu Bara. Akizungumza kuhusu usajili…

Read More

TFRA na Kampeni ya Kuboresha Kilimo cha Pamba

Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) inaendelea na kampeni ya “Kijiji hadi Kijiji, Shamba hadi Shamba,” yenye lengo la kuhamasisha matumizi sahihi ya mbolea kwa wakulima wa pamba. Kampeni hiyo inayofanyika kwa kushirikiana na Bodi ya Pamba Tanzania (CBT) na Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI), inalenga kuongeza uzalishaji wa pamba kupitia teknolojia bora…

Read More