Aaron arejea nchini baada ya kumaliza majaribio Juventus

Kijana Aaron Patrick Aadkin (16) ni kijana mwenye ndoto za kutoboa kisoka, ndoto hiyo haikuishia tu kitandani bali jitihada zake zimeanza kuonekana na Wazazi wake kama baba yake Patrick Aadkin ameanza kumsapoti na kumtilia mkazo. Aaron amerejea Tanzania hiyo ni baada ya kumaliza majaribio yake katika Klabu ya Juventus ya Italia ambapo alikwenda kwa wiki…

Read More

Watumishi wafundwe mawasiliano kwa umma

Agosti 19, 2024 ni moja kati ya siku ya kukumbukwa katika mwaka huu, kwani liliibuka tukio kubwa la binti wa Kitanzania kufanyiwa unyanyasaji wa kingono. Binti huyo alibakwa na kundi la wanaume na kipindi unyama huo unafanyika, vijana hao walikuwa wakirekodi kile wanachokifanya kisha baada kuvujisha. Baada ya video hizo kusambaa katika mitandao mbalimbali ya…

Read More

Kilio wanaopasua la saba kupangiwa shule za kata

Desemba 16, 2024, Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa, alitangaza orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza katika shule za Serikali mwaka 2025. Kwa mujibu wa Mchengerwa, wanafunzi 974,332 walichaguliwa kujiunga na elimu ya sekondari mwaka 2025. Kati ya hao, ni 809 tu waliochaguliwa kwenye shule…

Read More

Morris Nyunyusa: Mlemavu wa macho aliyepiga ngoma 17

Dodoma. Mdundo maarufu uliosikika kwenye taarifa za habari za redio ya Taifa (Radio Tanzania Dar es Salaam-RTD) ulikuwa ni wa kipekee.  Mdundo huo uliokuwa ukianza kwa ‘kududundu, kudu kudu kudu kudundundu, halafu ti ti tiii’, uliashiria muda wa taarifa za habari.  Ni mdundo uliotokana na ngoma 17 zilizopigwa kwa wakati mmoja na Mzee Morris Nyunyusa,…

Read More

Wachunguzi wa Umoja wa Mataifa watoa wito wa kulinda ushahidi huku kukiwa na mzozo wa kibinadamu unaozidi kuwa mbaya – Global Issues

Sambamba na hilo, Mfumo wa Kimataifa, Usio na Upendeleo na Kujitegemea wa Syria (IIIM) alihitimisha ziara ya kihistoria kwa Damascus, ikisisitiza udharura wa kuhifadhi ushahidi unaohusiana na uhalifu mkubwa zaidi wa kimataifa kabla haujapotea. Uhaba wa mafuta, barabara kuharibika Huduma muhimu, ikiwa ni pamoja na hospitali na vituo vya afya, zimeathirika pakubwa, hasa katika mkoa…

Read More

Huyu ndo Dube wa Ramovic

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Prince Dube ameonekana kufanya vizuri zaidi katika kipindi cha muda mfupi chini ya kocha Sead Ramovic tofauti na ilivyokuwa wakati wa Miguel Gamondi. Dube aliyetua Yanga msimu huu akitokea Azam, takwimu zinaonyesha amehusika kwenye mabao mengi zaidi akicheza mechi chache chini ya Ramovic baada ya kupita kipindi kirefu bila ya kufunga. Ramovic…

Read More