Camara akwepa mtego | Mwanaspoti

WAKATI leo Simba ikiwa mwenyeji wa JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu Bara, kipa namba moja wa timu hiyo, Moussa Camara ameonekana kuweka mizizi kwenye nafasi yake. Simba iliyocheza mechi 13 za ligi ikiongoza msimamo kwa pointi 34, msimu huu imetumia wachezaji 25 tofauti kupambania pointi. Kati ya wachezaji hao 25, Camara pekee ndiye…

Read More

Amorim apewa rungu ishu tata ya Rashford Man United

BILIONEA Sir Jim Ratcliffe na bodi ya Manchester United hawataingilia uamuzi wa kocha Ruben Amorim juu ya mchezaji Marcus Rashford. Staa huyo wa kimataifa wa England amewekwa nje ya kikosi cha Man United kwa mara ya tatu mfululizo ndani ya siku nane, wakati kikosi hicho kilipokumbana na kipigo kutoka kwa Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi…

Read More

Benki ya Japani Yakosolewa kwa Kufadhili Mradi wa LNG wa Msumbiji Unaolaumiwa kwa Uhamishaji – Masuala ya Ulimwenguni

Kijiji katika Peninsula ya Afungi katika Wilaya ya Palma, Mkoa wa Cabo Delgado. Credit: Justica Ambiental by Maina Waruru (nairobi) Jumatatu, Desemba 23, 2024 Inter Press Service NAIROBI, Des 23 (IPS) – Wanahaŕakati wa hali ya hewa na mazingiŕa kutoka Japani wameikosoa Benki ya Japan ya Ushiŕikiano wa Kimataifa (JBIC) kwa kufadhili mradi wenye utata…

Read More

Ujenzi uwanja wa ndege Ibadakuli wafikia asilimia 80

Shinyanga. Ujenzi wa kiwanja cha ndege Ibadakuli katika Manispaa ya Shinyanga umefikia asilimia 80 na unatarajiwa kukamilika Aprili 2025. Mradi huo unaofadhiliwa na Serikali ya Tanzania na kutekelezwa na Mkandarasi China Hennan International Corporation Group Co. Ltd (CHICO) utagharimu Sh49.18 bilioni. Msimamizi wa Tanroads Mkoa wa Shinyanga, Mhandisi Chiyando Matoke amesema sehemu kubwa iliyobaki ni…

Read More

Kikwete awataja Wachaga vinara wa kujituma

Rombo. Rais mstaafu Jakaya Kikwete amesema iwapo Watanzania wangekuwa na ari ya kujituma kama wanavyofanya Wachaga, nchi ingekuwa mbali kwa maendeleo. Kikwete ametoa sifa hizo kwa Wachaga, huku akiyahusisha baadhi ya makundi ya watu nchini, ambayo hata kulima kwa ajili ya mlo wao wanalazimika kusukumwa. Kikwete ametoa kauli hiyo leo Jumatatu, Desemba 23, 2024 alipowaongoza…

Read More