WATANZANIA WATAKIWA KUJIANDIKISHA KWENYE KADI YA MPIKA KURA

Katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo mkoa wa Iringa MWL Joseph Ryata amewaomba watanzania kujitokeza kujiandikisha kwenye zoezi la kupata vitambulisho vya mpiga kura kwa ajili ya uchaguzi mkuu mwakani 2025.Katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo mkoa wa Iringa MWL Joseph Ryata amewaomba watanzania kujitokeza kujiandikisha kwenye zoezi la kupata vitambulisho vya mpiga kura kwa…

Read More

Mil.600 zatengwa kupeleka umeme Kijiji cha Ijinga – Magu

  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewahakikishia wananchi wa Kijiji cha Ijinga kilichopo kwenye kisiwani katika kata ya Kahangara Wilayani Magu mkoani Mwanza kuwa watafikishiwa umeme hivi karibuni baada ya Serikali kutenga kiasi cha Sh milioni 600 zitakazotumika kupeleka umeme wa jua (solar). Anaripoti Mwandishi Wetu, Mwanza … (endelea). Amesema…

Read More

DKT. NCHEMBA AKARIBISHA SAUDI ARABIA KUWEKEZA TANZANIA

Na Benny Mwaipaja na Saidina Msangi, Saudi Arabia Waziri wa Fedha Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), ameikaribisha Saudi Arabia kuwekeza Tanzania katika fursa mbalimbali zikiwemo utalii, kilimo, madini, uendelezaji wa miundombinu pamoja na uchumi wa buluu. Dkt. Nchemba alitoa mwaliko huo alipokutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Wizara ya Uchumi na Mipango…

Read More

WAANDISHI WA HABARI WATEMBELEA MRADI WA UKARABATI NA UPANUZI WA KIWANJA CHA NDEGE CHA SHINYANGA

 Muonekano sehemu ya barabara ya ndege katika Kiwanja cha Ndege Shinyanga Viongozi mbalimbali wanahusika na ujenzi wa Kiwanja cha Ndege Shinyanga wakiwaongoza waandishi wa habari kutembelea kiwanja cha ndege Shinyanga Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog     Waandishi wa habari kutoka Mkoa wa Shinyanga, kupitia Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga (Shinyanga…

Read More

NONAFILTER MKOMBOZI WA MAJI SAFI NA SALAMA TANZANIA

NA. MWANDISHI WETU Teknolojia ya kuchuja maji ya “NANOFILTER” imeendelea kuimarisha jitihada za usafi wa mazingira, upatikanaji wa maji safi na salama ili kuendelea kuhudumia jamii kwa kuwapata maji safi na salama ya kunywa hususani wanafunzi waliopo shule za Msingi na Sekondari nchini. Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu kwa kushirikiana na shirika…

Read More

Matukio yaliyotia doa Dar 2024

Dar es Salaam. Wakati zikiwa zimebaki siku chache kabla ya kuufunga mwaka 2024 na kuukaribisha mwaka mpya 2025, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ametaja baadhi ya matukio yaliyoutia doa mkoa huo, yakiwemo yanayodaiwa kuwa ya utekaji. Hata hivyo, Chalamila amesema katika matukio hayo uchunguzi ulibaini si yote yameripotiwa kama ulivyo uhalisia,…

Read More