Aliyekuwa CEO Simba afariki dunia, klabu yamlilia

Uongozi wa Simba umeeleza kusikitishwa na kifo cha aliyekuwa mtendaji wake mkuu, Dk Anorld Kashembe. Taarifa iliyotolewa na Simba leo Jumatatu Desemba 23, 2024 imeeleza kuwa wamepoteza mtu ambaye alikuwa na mchango mkubwa kwa klabu hiyo. “Uongozi wa klabu ya Simba umepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya msiba uliotokea leo 23.12.2024 wa aliyekuwa Mtendaji wa…

Read More

Shindano la Mabingwa Expanse kukupa mamilioni Sikukuu hii

Najua unafikiria namna gani unaweza kupiga mkwanja mrefu na kuifanya sikukuu yako kua nzuri na ya kibabe, Sasa kupitia shindano la michezo ya Expanse kasino unaweza kushinda kitita cha kutosha. Meridianbet wamekuja na shindano la michuano ya kasino inayofahamika kama shindano la mabingwa ambapo mshindi ataondoka na kitita cha milioni moja taslimu, Shindano hili la…

Read More

Matukio yaliytia doa Mkoa wa Dar es Salaam 2024

Dar es Salaam. Wakati zikiwa zimebaki siku chache kabla ya kuufunga mwaka 2024 na kuukaribisha mwaka mpya 2025, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ametaja baadhi ya matukio yaliyoutia doa mkoa huo, yakiwemo yanayodaiwa kuwa ya utekaji. Hata hivyo, Chalamila amesema katika matukio hayo uchunguzi ulibaini si yote yameripotiwa kama ulivyo uhalisia,…

Read More

TRA KUONGEZA IDADI YA WAENDESHA UCHUMI WALIOIDHINISHWA

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ipo katika mkakati wa kuongeza idadi ya Waendesha Uchumi Walioidhinishwa (Authorized Economic Operators (AEO)) ili kuongeza kasi ya uendeshaji wa shughuli za Uchumi nchini ikiwemo uondoshaji mizigo Bandarini na usafirishaji kwenda nchi jirani. Akizungumza wakati wa kukabidhi vyeti kwa AEO 5 zilizopatiwa leseni msimu huu Kamishna Mkuu wa TRA Bw….

Read More

Mashujaa malengo yametimia | Mwanaspoti

MECHI 15 za mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu Bara zimempa mwanga Kocha Mkuu wa Mashujaa, Abdallah Mohamed ‘Bares’ aliyedai watahakikisha wanakuwa bora zaidi ili kumaliza nafasi tano za juu. Mashujaa baada ya kumaliza mzunguko wa kwanza kwa kucheza mechi 15, imeshinda nne, sare saba na vipigo vinne, ikifunga mabao 13 na kuruhusu 11 ikikusanya…

Read More

Hatari ya kutumia barafu ukeni

Dar es Salaam. Ingawa baadhi ya watu hufikiri barafu husaidia kubana uke au kuongeza hisia za mapenzi, wataalamu wa afya wamesema matumizi ya barafu ukeni husababisha maambukizi na harufu mbaya sehemu za siri. Wataalamu hao wameonya hayo kutokana na mjadala ulioibuka baada ya baadhi ya wanawake kupitia mitandao ya kijamii kushauriana kuitumia kwa lengo kubana…

Read More

TRA WAWASHUKURU KIWANDA CHA SUTURN NA KAMPUNI YA GRAND RE

 Afisa Mkuu wa kodi kutoka Idara ya Walipa kodi wa Kati, Beatrice Stephen akikabidhi zawadi kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Suturn inayotengeneza magari aina ya Sinotruck, Chirag Tanna leo Desemba 23, 2024 walipotembelewa na Wafanyakazi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwaajili ya kuwashukuru na kusikiliza changamoto zao za kikodi. Meneja wa Ritani kutoka…

Read More

Taoussi ashtukia jambo Azam FC

KASI ya Simba na Yanga katika Ligi Kuu Bara katika mechi za hivi karibuni Lihi Kuu Bara, imemshtua Kocha wa Azam, Rachid Taoussi na kuwataka mastaa wake kutofanya makosa kwenye mechi zijazo ili kuendelea kuleta ushindani msimu huu. Kitendo cha Simba kuifunga Kagera Sugar mabao 5-2, huku Yanga ikiifunga Tanzania Prisons mabao 4-0 kimeifanya Azam…

Read More

Jinsi kesi hizi zilivyotikisa | Mwananchi

Dar es Salaam. Mahakama ni mojawapo ya mihimili ya dola yenye dhamana ya kusimamia utoaji haki nchini. Inatekeleza jukumu hili kwa kupokea, kusikiliza, na kuamua kesi mbalimbali za madai na jinai za aina zote zinazowasilishwa mbele yake. Mwaka 2024, Mahakama ya Tanzania imepokea na kusikiliza kesi nyingi katika ngazi mbalimbali nchini kote. Baadhi ya kesi…

Read More