Mwambusi: Dirisha dogo limeshika hatma yetu

KOCHA Mkuu wa Coastal Union, Juma Mwambusi amesema usajili mzuri watakaoufanya dirisha dogo la usajili utaamua hatma ya timu hiyo ambayo haijawa na matokeo mazuri mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu Bara. Tangu Desemba 15, 2024, usajili wa dirisha dogo umefunguliwa kutoa fursa kwa timu za Ligi Kuu Bara, Championship, First League na Ligi Kuu…

Read More

Maagizo manne ya Waziri Chana akimwapisha Kamishna wa NCAA

Arusha. Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Pindi Chana ametoa maagizo manne kwa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) wakati akimwapisha na kumvisha cheo, Kamishna wa mamlaka hiyo, Dk Elirehema Doriye. Katika maagizo yake aliyoyatoa leo Jumatatu, Desemba 23, 2024, Waziri Chana amesisitiza matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) ili kuimarisha utendaji, kuongeza…

Read More

Cat Purry Kasino mtandaoni makulipo makubwa

Huenda umewahi kuona au kusikia stori nyingi kuhusu paka, Meridianbet kasino ya mtandaoni inakuletea mkutano na paka wa kuvutia wanaowapa wachezaji zawadi za kasino. Kazi yako ni kuwakusanya tu. Cat Purry ni sloti ya kasino mtandaoni inayotolewa na Games Global. Katika mchezo huu, utapata bonasi kadhaa. Kuna Bonasi ya Kishindo Kikubwa ambayo inakupa nafasi ya…

Read More

Maaskofu waonya matukio ya utekaji, rushwa mwaka 2025

Moshi/Dar. Maaskofu wa madhehebu manne tofauti, wameibuka na mambo mbalimbali katika salamu zao za Krismasi 2024,  huku wakiweka msimamo wa kutaka kukoma kwa vitendo vya utekaji, kupotea kwa watu  na mauaji. Katika salamu zao hizo walizotuma kwa waumini na Mwananchi kupata nakala, maaskofu hao ambao ni pamoja na Dk Benson Bagonza wa Dayosisi ya Karagwe…

Read More

Kuangalia Nyuma kwenye 2024 – Masuala ya Ulimwenguni

Maoni na Farhana Haque Rahman (Toronto, Kanada) Jumatatu, Desemba 23, 2024 Inter Press Service TORONTO, Kanada, Desemba 23 (IPS) – Je, wakati mwingine unahisi kama hamster kwenye gurudumu lake, au pengine kukwama kwenye treni iliyokimbia ikiumiza kuelekea shimoni? Sitiari yoyote ambayo mtu anaweza kuchagua kwa ulimwengu wetu akiangalia nyuma mnamo 2024, upinde wa mvua haukumbuki…

Read More

Waziri wa maji atii agizo la Rais,afika handeni Tanga

Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso ametii agizo la Rais Samia na kufika eneo la kwamsisi wilaya ya Handeni mkoani Tanga, Ambapo baada ya kuona video iliyochapishwa na mwandishi wa habari Mbarouk Khan ikionesha wananchi wakiteseka kwa kukosa maji Rais Samia alitoa maagizo kwa Waziri kushughulikia changamoto hiyo haraka sana Baada ya kufika Waziri aweso…

Read More

Mwanafunzi Udom afariki dunia mafunzoni Udzungwa

Morogoro. Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linachunguza taarifa ya kifo cha mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom), Hezekiel Petro (21) aliyekufa maji kwenye maporomoko ya maji Sanje yaliyopo Hifadhi ya Taifa ya Udzungwa, Kata ya Sanje, Wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumatatu, Desemba 23, 2024 mjini hapa, Kamanda…

Read More