Kuimarika kwa mfumo wa Gridi za Umeme za Tanzania na Kenya kutasaidia kuimarisha upatikanaji wa umeme

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania ( TANESCO) Mha. Gissima Nyamo-Hanga amesema kuimarika kwa mfumo wa Gridi za Umeme za Tanzania na Kenya kutasaidia kuimarisha upatikanaji wa umeme katika ukanda wa Kaskazini Mashariki mwa Afrika . Mha.Gissima ameyasema hayo Desemba 20,2024 wakati wa Ziara yake akiongozana na Viongozi wengine wa Shirika katika kituo cha…

Read More

Mwanafunzi Udom afariki dunia mafunzoni Udzingwa

Morogoro. Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linachunguza taarifa ya kifo cha mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom), Hezekiel Petro (21) aliyekufa maji kwenye maporomoko ya maji Sanje yaliyopo Hifadhi ya Taifa ya Udzungwa, Kata ya Sanje, Wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumatatu, Desemba 23, 2024 mjini hapa, Kamanda…

Read More

Serikali kuanzisha uchunguzi baada ya shambulio la Magdeburg – DW – 23.12.2024

  Mwanamume anayeshukiwa kulivurumisha gari lake katikati ya umati wa watu waliokuwa kwenye soko la Krismasi katika mji wa Magdeburg ulio Katikati mwa Ujerumani tayari amefikishwa mahakamani na anakabiliwa na mashtaka ya mauaji na kujaribu kuua, hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya polisi. Soma Zaidi: Ujerumani yachunguza maonyo kuhusu muuaji wa soko la Krismas Mshukiwa, Taleb…

Read More

Zanzibar yapiga marufuku upigaji makachu Forodhani

Mamlaka ya Mji Mkongwe Zanzibar imepiga marufuku upigaji wa makachu katika eneo la bustani ya Forodhani, baada ya kudaiwa kufanyika vitendo vinavyokiuka maadili. Taarifa iliyotolewa na mamlaka hiyo jana Jumapili, Desemba 22, 2024 imeeleza uamuzi huo umefikiwa baada ya kuona kuna ukiukwaji wa sheria, kanuni na miongozo yaliyojitokeza kwa vijana wa makachu katika eneo hilo….

Read More

Wasiwasi umetanda Msumbiji, Mondlane aitisha maandamanoDa – DW – 23.12.2024

Umma wa Msumbiji unasubiri kwa hamu uamuzi wa baraza la katiba kuhusu matokeo ya uchaguzi wa rais, yaliyozusha mvutano mkubwa. Kiongozi wa upinzani Venancio Mondlane ameapa kuamsha vurugu nchini humo, ikiwa baraza hilo litamthibitisha mgombea wa chama tawala, Daniel Chapo kuwa mshindi. Wasiwasi umetanda nchi nzima Wasiwasi umetanda kote nchini Msumbiji, huku macho yakielekezwa kwa…

Read More

Lema kuongoza utambulisho viongozi wapya Chadema Kaskazini

Arusha. Aliyekuwa mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema anatarajiwa kuongoza hafla za makabidhiano na utambulisho wa viongozi wapya wa kanda hiyo kupitia mikutano ya hadhara itakayofanyika katika mikoa yote minne. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumatatu, Desemba 23, 2024, Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa, amesema…

Read More

Marekani na Washirika wa Magharibi Watoa Dola Bilioni 260 kama Msaada wa Kijeshi kwa Ukraine – Masuala ya Ulimwenguni

Credit: Idara ya Ulinzi ya Marekani (DoD) na Thalif Deen (umoja wa mataifa) Jumatatu, Desemba 23, 2024 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Des 23 (IPS) – Maŕekani na washirika wa Maghaŕibi kwa pamoja wametoa msaada wa kushangaza wa dola bilioni 260, hasa silaha na msaada wa kijeshi, kwa Ukraine wakati mzozo wa muda mŕefu…

Read More