Zanzibar yapiga ‘stop’ upigaji makachu Forodhani

Dar es Salaam. Mamlaka ya Mji Mkongwe Zanzibar imepiga marufuku upigaji wa makachu katika eneo la bustani ya Forodhani, baada ya kudaiwa kufanyika vitendo vinavyokiuka maadili. Taarifa iliyotolewa na mamlaka hiyo jana Jumapili, Desemba 22, 2024 imeeleza uamuzi huo umefikiwa baada ya kuona kuna ukiukwaji wa sheria, kanuni na miongozo yaliyojitokeza kwa vijana wa makachu…

Read More

MAKUNDI KUITAFUNA CCM NYAKATO, WAMBURA AKIAHIDI MABATI BANDO MBILI UJENZI OFISI YA MTAA

NA BALTAZAR MASHAKA, ILEMELA MJUMBE wa Baraza la Wazazi CCM Mkoa wa Mwanza, Alfred Wambura (Trump) amesikitishwa na makundi na ubaguzi unaoendelea ndani ya Chama Cha Mapinduzi kata ya Nyakato, wilayani Nyamagana. Wambura ambaye alikuwa mgeni rasmi katika mkutano wa kumpongeza Menyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Majengo,Kata ya Nyakato Desudedit Malunde (CCM),alionesha masikitiko hayo,leo…

Read More

VODACOM YAWAJENGEA UWEZO WA TEHAMA WANAFUNZI WA KIKE MKOANI DODOMA KUPITIA PROGRAMU YA ‘CODE LIKE A GIRL’

Meneja Biashara na Masoko wa Vodacom Tanzania PLC Kanda ya Kati,Latifa Salum (kushoto) akimkabidhi zawadi ya begi mwanafunzi wa shule ya sekondari Mnadani, Swaibath Abdalah kwa kufanya vizuri kwenye mafunzo ya kuwajengea uwezo wanafunzi wa kike katika masomo ya Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati (STEM) kupitia programu ya Code like a Girl yaliyofanyika Chuo kikuu…

Read More

Shaban Chilunda aingia anga za KMC

UONGOZI wa KMC uko katika mazungumzo ya kupata saini ya aliyekuwa mshambuliaji wa timu hiyo, Shaaban Idd Chilunda baada ya kocha Kally Ongala kutoridhishwa na eneo hilo katika michezo 15 ya raundi ya kwanza ya Ligi Kuu Bara. Chilunda aliwahi kuichezea timu hiyo kwa mkopo Januari, mwaka huu akitokea Simba ambayo aliachana nayo Julai Mosi…

Read More

Ezekiel Chobanka ataka watatu Ceasiaa

KOCHA mpya wa Ceasiaa Queens, Ezekiel Chobanka amesema anahitaji nyota wapya wanne ili kukiongezea nguvu kikosi hicho. Chobanka alisajiliwa msimu huu akitokea Alliance Girls ambako alidumu kwa takriban misimu saba akiibua nyota kama Aisha Masaka anayekipiga Brighton ya Uingereza, Aisha Mnunka (Simba Queens). Akizungumza na Mwanaspoti, Chobanka alisema ni ngumu kwa kocha kuwafahamu wachezaji kwenye…

Read More

Messi wa Tanga anukia Namungo

KLABU ya Namungo iko katika hatua za mwisho za kukamilisha uhamisho wa aliyekuwa winga wa Coastal Union, Issa Abushehe ‘Messi’, baada ya nyota huyo kuvunja mkataba wake wa mwaka mmoja na miezi sita uliobakia na KVZ ya visiwani Zanzibar. Nyota huyo alijiunga na KVZ msimu huu akitokea Biashara United ya mkoani Mara inayoshiriki Ligi ya…

Read More