NANOFILTER MKOMBOZI WA MAJI SAFI NA SALAMA TANZANIA

NA. MWANDISHI WETU Teknolojia ya kuchuja maji ya “NANOFILTER” imeendelea  kuimarisha jitihada za usafi wa mazingira, upatikanaji wa maji safi na salama ili kuendelea kuhudumia jamii kwa kuwapata maji safi na salama ya kunywa hususani wanafunzi waliopo shule za Msingi na Sekondari nchini. Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu kwa kushirikiana  na shirika…

Read More

Simba Queens yaongeza kipa Mkenya

SIMBA Queens imeanza mazungumzo ya kumpata kipa Wilfred Seda ukiwa ni ingizo la pili kwenye dirisha hili la usajili. Mabingwa hao watetezi hadi sasa wamesajili kiungo Zawadi Khamis akitokea Fountain Gate Princess alipotoka Seda. Mmoja wa viongozi wa Simba (jina tunalo) aliliambia Mwanaspoti wanaangalia uwezekano wa kumpata kipa huyo baada ya Carolyne Rufaa kukaa nje…

Read More

Michuano ya Expanse kukupa mkwanja msimu huu wa Sikukuu

Fursa ya kuufunga mwaka na kuufungua mwaka ipo mikononi mwako mpaka sasa kwani kupitia shindano la mabingwa la michezo ya kasino ya Expanse unaweza kuufunga kibabe sana, Kwani kuna mkwanja wa kutosha kupitia shindano hili. Meridianbet wamekuja na shindano la michuano ya kasino inayofahamika kama shindano la mabingwa ambapo mshindi ataondoka na kitita cha milioni…

Read More

Simba Queen yaongeza kipa Mkenya

SIMBA Queens imeanza mazungumzo ya kumpata kipa Wilfred Seda ukiwa ni ingizo la pili kwenye dirisha hili la usajili. Mabingwa hao watetezi hadi sasa wamesajili kiungo Zawadi Khamis akitokea Fountain Gate Princess alipotoka Seda. Mmoja wa viongozi wa Simba (jina tunalo) aliliambia Mwanaspoti wanaangalia uwezekano wa kumpata kipa huyo baada ya Carolyne Rufaa kukaa nje…

Read More

Yacouba aivutia kasi Simba SC

TABORA United bado ina hasira za kichapo cha mabao 3-0 ilichopewa na Simba katika mechi ya duru la kwanza ambacho iliwakosa mastaa wake wa kigeni kutokana na ishu za vibali, na sasa inasubiri kwa hamu mchezo wa marudiano utakaopigwa mjini Tabora ulioahirishwa na kuelezwa ni furaha kwa timu hiyo kwani inatoa muda kwa majembe yao…

Read More

Jean Baleke ameyatimba Yanga | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Jean Baleke hana nafasi katika kikosi cha timu hiyo tangu enzi za kocha Miguel Gamondi na hata sasa timu ikiwa chini ya Sead Ramovic akishindwa kabisa kumtumia katika mechi za Ligi ya ndani na ile ya Mabingwa Afrika. Lakini sasa unaambiwa jana ni kama ameyatimba na kujiweka katika nafasi finyu ya kuendelea…

Read More

Shindano la Mabingwa Expanse kukupa milioni sikukuu Hii

Najua unafikiria namna gani unaweza kupiga mkwanja mrefu na kuifanya sikukuu yako kua nzuri na ya kibabe, Sasa kupitia shindano la michezo ya Expanse kasino unaweza kushinda kitita cha kutosha. Meridianbet wamekuja na shindano la michuano ya kasino inayofahamika kama shindano la mabingwa ambapo mshindi ataondoka na kitita cha milioni moja taslimu, Shindano hili la…

Read More

Fadlu ashindwa kujizuia, afichua ishu ya Mpanzu

SIMBA imesharejea Dar es Salaam tayari kwa mechi ijayo dhidi ya JKT Tanzania, huku kocha wa timu hiyo, Fadlu David akikunwa na kiwango cha Ladack Chasambi na kufunguka kwa moto alioanza nao Ellie Mpanzu aliyemtumia kwa dakika 57 walipoizamisha Kagera Sugar kwa mabao 5-2, akisema akiizoea ligi itakuwa balaa. Katika mchezo huo, Mpanzu alicheza kwa…

Read More