
NANOFILTER MKOMBOZI WA MAJI SAFI NA SALAMA TANZANIA
NA. MWANDISHI WETU Teknolojia ya kuchuja maji ya “NANOFILTER” imeendelea kuimarisha jitihada za usafi wa mazingira, upatikanaji wa maji safi na salama ili kuendelea kuhudumia jamii kwa kuwapata maji safi na salama ya kunywa hususani wanafunzi waliopo shule za Msingi na Sekondari nchini. Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu kwa kushirikiana na shirika…