Ujumbe mzito wa maaskofu salamu za Sikukuu ya Krismasi

Moshi. Maaskofu wa madhehebu matatu tofauti, wameibuka na mambo 10 katika salamu zao za Krismasi 2024 huku suala la utekaji, kupotea kwa watu na mauaji likitawala salamu hizo. Mbali na hilo viongozi hao wa dini wameonya  juu ya damu inayomwagika pasipo na hatia. Katika salamu zao hizo walizotuma kwa waumini na Mwananchi kupata nakala, maaskofu…

Read More

Wenye ulemavu wa kupitiliza kufundishwa wakiwa nyumbani

Rombo. Serikali imeanza utekelezaji wa usajili wa mwongozo wa watoto wenye ulemavu unaowapa nafasi wale wenye changamoto zaidi kufundishwa wakiwa nyumbani. Hayo yameelezwa leo Jumapili Desemba 22, 2024 na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda wakati akikabidhi viti mwendo kwa watoto wenye mahitaji maalumu wilayani humo. Amesema Serikali haitamwacha mzazi abebe jukumu…

Read More

Urusi yaandamwa na matukio ya kuchomwa moto taasisi zake – DW – 22.12.2024

Urusi imeshuhudia wimbi la majaribio ya matukio ya kuwashwa moto yakilenga mabenki,vituo vya biashara, ofisi za posta na majengo ya serikali. Matukio hayo yameonekana kufanyika katika kipindi cha siku tatu zilizopita ikielezwa kwamba takriban matukio 20 tofauti yamerikodiwa, ya watu kujaribu kuwasha vifaa vya miripuko  au kuwasha baruti katika majengo tangu Ijumaa hasahasa kwenye miji…

Read More

Mchunguzi UN asema uthibitisho wa mashtaka Syria unawezekana – DW – 22.12.2024

Kiongozi wa tume ya uchunguzi ya Umoja wa Mataifa kuhusu Syria aliyeko ziarani nchini humo amesema Jumapili kuwa kuna uwezekano wa kupata “ushahidi wa kutosha kabisa” wa kuwafungulia mashtaka watu waliotenda uhalifu dhidi ya sheria za kimataifa, lakini alisisitiza haja ya haraka ya kuuhifadhi na kuulinda ushahidi huo. Milango ya magereza ya Syria ilifunguliwa baada…

Read More

RAIS SAMIA AFUNGUA UCHUMI WA NCHI KWA KUKARIBISHA WAWEKEZAJI NCHINI-ULEGA

    Na Mwamvua Mwinyi, Pwani  Disemba 22,2024 WAZIRI wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema kuwa kwa mwaka 2024, mitaji ya uwekezaji wa kimataifa iliyoingia nchini imeongezeka kwa asilimia 26, ikiwa ni jumla ya dola bilioni 42.1 za Kimarekani. Akizungumza katika mkutano uliowakutanisha viongozi mbalimbali, wawekezaji, na wananchi katika stendi ya zamani ya Mailmoja, Kibaha, Mwishoni…

Read More

Wezi waiba kengele kanisani, Askofu Bagonza atoa neno

Mwanza. Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Dk Benson Bagonza amelihusisha tukio la wizi wa kengele ya Kanisa la Ihembe mkoani Kagera na kukithiri kwa momonyoko wa maadili katika jamii. Amesema kwa tukio hilo na mengine, Taifa linahitaji toba na kumrejea Mwenyezi Mungu. Taarifa ya tukio la wizi huo, ilisambaa…

Read More