Ni Neema, kilio bei ya vyakula, nguo zikipaa

Dar/ Mikoani. “Kulia au kucheka ni kupokezana,” ndivyo wanavyosema wafanyabiashara wanaokitumia kipindi cha msimu wa sikukuu za mwisho wa mwaka kama fursa ya kupata fedha mara mbili ya awali, huku kwa wanunuzi wakilalamika kupaa kwa bei za bidhaa hasa za vyakula na mavazi. Mfumuko huo wa bei unakolezwa na sikukuu ya Krismasi inayoadhimishwa Jumatano Desemba…

Read More

Mbowe ataka uchaguzi huru na haki Chadema

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe ameziagiza mamlaka zinazosimamia uchaguzi wa chama hicho, kutenda haki ili ipatikane safu bora, yenye sifa na inayokubalika kuongoza. Mbowe ametoa kauli hiyo ikiwa imepita wiki moja tangu katibu mkuu wa chama hicho, John Mnyika Desemba 16, mwaka huu kuwataka wagombea kuzingatia kanuni,…

Read More

Yanga yaichakaza Prisons, Bacca afunga la mkono

YANGA leo imeendelea wimbi la ushindi baada ya kuifumua Tanzania Prisons kwa mabao 4-0 katika mechi ya Ligi Kuu Bara, huku Prince Dube akitupia bao moja na kumfanya afikishe matano kupitia mechi tatu mfululizo zikiwamo mbili za ligi na mojua ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Watetezi hao walipata ushindi kwenye Uwanja wa KMC Complex, ikiwa…

Read More

Aliyekaa siku 28 mochwari azikwa, Polisi wasimamia

Moshi. Baada ya mvutano wa siku 28 wa familia ya Mosha kuhusu eneo atakalozikwa kijana wao, Gilbard Mosha (41) aliyefariki dunia Tunduma mkoani Mbeya, hatimaye familia bila kuelewana wamelazimika kuuzika mwili huo. Gilbard aliyefariki dunia Novemba 27, mwaka huu, mwili wake umezikwa jana Desemba 21, katika kitongoji cha Koniko B, kijiji cha Rauya, Wilaya ya…

Read More

RC Manyara aagiza mkuu wa shule aondolewe

Hanang. Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, amemuagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang, Theresia Irafay, kumuondoa Mkuu wa Shule ya Sekondari Chifu Sarja, Eelifadhili Gefi, kutokana na kushindwa kuisimamia shule hiyo ipasavyo. Sendiga ameonesha kutoridhishwa na utendaji wa mkuu huyo wa shule, hususan kutokuwepo mara kwa mara anapofanya ziara shuleni hapo….

Read More

Mbowe, Lissu wanavyoipitisha Chadema mstari wa kifo

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ama kipo uwanda wa kifo kisiasa au kinapitia agano la moto wa kukiimarisha. Mwenyekiti Freeman Mbowe na Makamu Mwenyekiti (Tanzania Bara), Tundu Lissu, wamebeba haetima. Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chadema katika Uchaguzi Mkuu 2020, anaungwa mkono na waumini wa falsafa ya “dawa ya moto…

Read More

Siku tisa zasalia ahadi ya mabasi mapya Dart

Dar es Salaam. Zikiwa zimesalia siku 10 kuhitimisha Desemba iliyoahidiwa kuwasili mabasi ya mwendo wa haraka, Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart), umesema suala hilo lipo Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), ambaye naye ameeleza litakamilika ndani ya Desemba. Akizungumza na Mwananchi kuhusu utekelezaji wa agizo la Serikali kuwa mabasi hayo yawe yamewasili Desemba,…

Read More

REA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI SINGIDA

*📌Wananchi 3,255 kila wilaya ya mkoa huo kunufaika* Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA); kuanzia tarehe 20 Januari, 2025 itaanza kusambaza mitungi ya gesi ya kilo 6 mkoani Singida ili kusaidia Wananchi kutumia nishati hiyo kwa ajili ya kupikia. Hayo yamesemwa leo, tarehe 22 Desemba, 2024 na Mkuu…

Read More