Bushiri ataja ubora wake | Mwanaspoti

KIUNGO wa JKT Queens, Fatuma Bushiri ‘Tshishimbi’ amesema licha ya kucheza muda mrefu anapopata nafasi ya kuanza kwenye mchezo anapambana kuhakikisha timu inapata matokeo. Mchezaji huyo amecheza kwa muda mrefu ligi ya wanawake akiwa Yanga Princess ambako alipata umaarufu kutokana na kuonyesa kiwango bora. Mkongwe huyo alisema licha ya kukaa benchi anapopata nafasi ya kucheza…

Read More

NSSF yaja na uwekezaji wa Sh148.4 bilioni

Dodoma. Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeeleza kuwa uwekezaji wao katika eneo la Njedengwa, jijini Dodoma wenye thamani ya Sh148.4 bilioni, ikiwemo ujenzi wa hoteli ya nyota tano, utarejesha gharama ndani ya kipindi cha miaka 11. Mradi huo unajumuisha hoteli itakayokuwa na vyumba 120 pamoja na chumba maalumu cha hadhi ya urais, ofisi, maduka…

Read More

Kipigo cha Simba chaiamsha Kagera

KOCHA wa Kagera Sugar, Melis Medo, amesema kipigo cha mabao 5-2 walichokipata kutoka kwa Simba, wikiendi iliyopita, ni funzo kubwa kwa timu yake. Katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Kaitaba, mjini Bukoba timu hiyo ya Kagera ilikubali kichapo hicho cha aibu kilichowafanya waonekane dhaifu mbele ya mabingwa hao wa zamani. Medo,…

Read More

DKT.NDUMBARO  ACHAGULIWA MWENYEKITI WA KAMATI MAALUM YA MAWAZIRI WA SHERIA YA UMOJA WA AFRIKA

Waziri wa Katiba na Sheria Nchini Tanzania Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza  maalum la  Mawaziri wa Sheria la  Umoja wa Afrika kikao  kilichowakutanisha Mawaziri, Mabalozi na Wataalamu katika sekta ya Sheria wa Umoja wa Afrika kikao kilichofanyika kuanzia tarehe 14 na kumalizika leo tarehe 22  Desemba, 2024 katika hotel ya Golden…

Read More

CHATANDA ACHANGIA MILIONI 2.66 KUFANIKISHA UNUNUZI WA GARI KANISA KUU LA KKKT JIMBO LA SONGEA

Na Mwandishi Wetu, Songea, Ruvuma. Mwenyekiti wa UWT Taifa, *Ndg Mary Pius Chatanda (MCC)* ameongoza harambee ya ununuzi wa gari kwa ajili ya usafiri wa Mchungaji Julia Philemoni katika Kanisa Kuu la Jimbo la KKKT Songea. Katika harambee hiyo, Chatanda alichangia pesa taslimu *Shilingi Millioni Mbili na Laki Sita na Elfu Sitini (2,660,000/=).* #uwtimara#Jeshiladktsamiadktmwinyi#Kaziiendelee#Ushindinilazima#Miaka63YaUhuru

Read More

Yanga Princess yaongeza watatu | Mwanaspoti

BAADA ya kuona mapungufu kwenye baadhi ya maeneo, Yanga Princess inadaiwa imekamilisha usajili wa wachezaji watatu kutoka Get Program. Nyota hao ni beki wa kushoto, Diana Mnally, Kiungo Protasia Mbunda na kipa Zubeda Mgunda ambao kabla ya kucheza Get Program waliitumikia Simba Queens. Kama usajili huo utakamilika Yanga itakuwa timu ya kwanza kusajili wachezaji watano…

Read More

Kinda Yanga amtaja kocha | Mwanaspoti

KINDA la zamani la Yanga U-20 anayekipiga Wakiso Giants ya Uganda, Isack Emmanuel Mtengwa amesema kocha wa timu hiyo ana mchango mkubwa kukua kwenye karia yake. Ikumbukwe nyota huyo yupo Wakiso kwa mkopo wa mwaka mmoja pamoja na beki wa kati Shaibu Mtita ambao wote wameanzimwa kutoka Yanga ya vijana. Akizungumza na Nje ya Bongo,…

Read More