Henry Joseph hana presha Moro Kids

LICHA ya kuanza kwa kusuasua katika First League, nyota wa zamani wa Simba na Mtibwa Sugar, Henry Joseph Shindika amesema hana hofu yoyote kwani anajua mwisho wa msimu ataifikisha Moro Kids katika nchi ya ahadi. Henry anayeinoa Moro Kids ameanza bila ushindi katika mechi tatu za kundi A kwenye First League akiambulia sare dhidi ya…

Read More

Sababu Desemba kuwa na ajali nyingi zatajwa

Dar es Salaam. Mfululizo wa matukio ya ajali katika kipindi cha mwisho wa mwaka, umehusishwa na wingi wa vyombo vya usafiri barabarani, madereva wa magari binafsi kukosa uzoefu na barabara nyembamba. Hayo yamesemwa wakati ambao, taarifa mbalimbali zinaonyesha katika kipindi cha wiki tatu, watu 35 wamepoteza maisha, huku 38 wakijeruhiwa kutokana na matukio ya ajali…

Read More

Sultan apata ushindi wa pili Alliance

BAADA ya kupewa kandarasi ya mwaka mmoja na Alliance Girls kama Kocha Mkuu, Sultan Juma amepata ushindi wa kwanza wa ligi wa mabao  5-1 dhidi ya Mlandizi Queens. Alliance imecheza mechi saba za ligi ikitoa sare mbili, ikishinda mbili dhidi ya Mlandizi na Bunda Queens ikiitandika mabao 2-0 ikipoteza tatu. Akizungumza na Mwanaspoti, Sultan alisema…

Read More

Mwili uliokaa mochwari siku 28 wazikwa

Kilimanjaro. Hatimaye mwili Gilbard Mosha (41), umezikwa katika kitongoji cha Koniko B, kijiji cha Rauya, Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro Gilbard aliyekuwa fundi wa kuchomelea vyuma Tunduma mkoani Songwe, alifariki Novemba 27, 2024, kutokana na ajali kazini, lakini mwili wake ulishindikana kuzikwa mapema kutokana na mgogoro wa kifamilia kuhusu eneo atakalozikwa. Mgogoro huo uliibuka baada…

Read More

Cyprian Kachwele apata uzoefu | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Vancouver Whitecaps ya Canada, Cyprian Kachwele amesema amemaliza msimu salama akiondoka na mambo mbalimbali ikiwemo kupata uzoefu. Kachwele ni miongoni mwa washambuliaji ambao wamekuwa wakiitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ‘Taifa Stars’ akiwa kwenye orodha ya wachezaji walioipeleka Tanzania AFCON licha ya kukaa benchi. Akizungumza na Mwanaspoti, Kachwele alisema jambo la kushukuru…

Read More

Bosi mpya Geita ataja vipaumbele

SIKU chache baada ya kuapishwa kuendelea kuiongoza Chama cha Soka cha Geita kwa muhula mwingine kama  Mwenyekiti, Salum Kulunge ameanika vipaumbele 10 vya kufanyia kazi huku namba moja ikiwa ni kuendeleza soka la vijana ili kuzalisha wachezaji wengi. Katika uchaguzi huo uliofanyika mjini Geita, Domisian Butula na Kassim Nangale walishinda nafasi ya ujumbe wa Kamatiya…

Read More

Samatta ashusha mjengo Masaki | Mwanaspoti

NAHODHA wa timu ya Taifa, Taifa Stars, Mbwana Samatta ameshaonja mafanikio ya soka, lakini kama hujui nyota huyu anayekipiga PAOK ya Ligi Kuu ya Ugiriki amewekeza kwenye mambo mbalimbali ikiwamo mijengo Masaki, jijini Dar es Salaam. Mmoja wa watu wa karibu wa nyota huyo aliyewahi kutamba na Simba, TP Mazembe kabla ya kutimkia KRS Genk…

Read More

Gamondi kuibukia AS FAR ya Morocco

WAKATI kukiwa na ukimya juu ya dili la kocha wa zamani wa Yanga, Miguel Gamondi kutua Singida Black Stars, inadaiwa kuwa, kocha huyo raia wa Argentina, yuko mbioni kujiunga na klabu ya AS FAR ya Morocco kama Mkurugenzi wa Michezo. Ingawa taarifa hizi bado hazijathibitishwa rasmi, vyanzo vya karibu na klabu hiyo vinadai kuwa pande…

Read More