Mabingwa Misri kumpa dili nono Mtanzania

BAADA ya kufanya vizuri kwenye msimu wake wa kwanza tu wa ligi, Mabingwa wa Ligi ya Wanawake FC Masar imemuandalia dili nono Mtanzania Hasnath Ubamba. Ubamba alisajiliwa msimu huu kwa mkopo wa mwaka mmoja akitokea Fountain Gate Princess ya Tanzania. Taarifa ilizopata Mwanaspoti kutokea Misri ni timu hiyo iko kwenye mchakato wa kumnunua moja kwa…

Read More

Mrundi arejea kivingine Namungo | Mwanaspoti

BEKI mpya wa Namungo, Mrundi Derrick Mukombozi amesema amejisikia fahari kucheza tena mchezo wake wa kwanza wa Ligi Kuu Bara juzi dhidi ya JKT Tanzania, huku akiweka wazi ana kazi kubwa ya kufanya ili kucheza kikosi cha kwanza. Nyota huyo amerejea tena ndani ya kikosi hicho katika dirisha hili dogo la usajili akiwa mchezaji huru…

Read More

Simon Msuva bado anaskilizia Wydad

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga Al Talaba ya Iraq, Simon Msuva amesema bado hajaingiziwa pesa zozote kutoka Wydad AC anazowadai. Msuva aliishtaki Wydad Shirikisho la Soka Duniani (Fifa) kutokana na kushindwa kumlipa pesa za usajili ikiwemo malimbikizo ya mshahara Dola 700,000 sawa na zaidi ya Sh1.6 bilioni. Akizungumza na Mwanaspoti, Msuva alisema bado anaendelea…

Read More

Uishije na wageni msimu huu wa likizo na sikukuu

Kipindi cha likizo ya mwisho wa mwaka baadhi ya familia hupokea ndugu zao kutoka sehemu mbalimbali wanaofika kwa ajili ya kusalimia. Bila kujali idadi, uwepo wa wageni hawa huweza kubadilisha mfumo wa maisha wa familia husika kutokana na kuongezeka kwa bajeti inayotumika, hususan katika kununua chakula cha siku husika kuanzia asubuhi hadi jioni. Uwepo wa…

Read More

ANTI BETTIE: Nimechoka kuibiwa pesa na mke wangu, nipe mbinu kumdhibiti

Anti, kuna vitu hadi vinatia aibu kuvisema hadharani, unajua mke wangu ananipiga ndole (kuchomoa pesa) kila ninaporudi nyumbani na kuvua suruali. Kuna wakati natamani nilale na suruali maana nikivua tu ananisachi. Nimesema, nimelalamika mpaka nimechoka, ningekuwa ninakunywa pombe angekuwa anasema nimepoteza nilipokuwa baa au nilipoolewa, kwangu amekosa kisingizio. Ninarudi na akili zangu timamu na ninajua…

Read More

TRA WAWASHUKURU GF TRUCK LTD NA LINDI EXPRESS LTD

Kaimu Kamishna Msaidizi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), ldara ya Kodi za ndani, kitengo cha walipakodi wa kati  Godwin Barongo pamoja na Watumishi wa kitengo hicho wamewatembelea baadhi ya Wafanyabiashara wa kitengo hicho wa GF Truck Ltd waliopo Tazara jijini Dar es Salaam Desemba 20, 2024.Kwaajili ya  kuwashukuru kwa kuendelea kulipa kodi zao kwa…

Read More

Manufaa ya lugha ya mwili kwenye mawasiliano

Tunapozungumzia lugha ya mwili, tunarejelea namna tunavyoweza kutumia miili yetu kuwasilisha nia, hisia, na ujumbe wetu. Mwili ni kiungo muhimu sana cha mawasiliano, na tafiti zinaonyesha kuwa hata pale mtu anapoongea kwa kutumia maneno, asilimia 60 ya ujumbe wake hueleweka kupitia lugha ya mwili badala ya maneno yanayotamkwa. Hali hii inathibitisha usemi maarufu usemao, “Matendo…

Read More