Ramovic amchomoa straika mpya Yanga

KABLA ya kuondoka Yanga, kocha Miguel Gamondi alileta straika mpya na kujifua na kikosi cha timu hiyo kambini, Avic Town, akisubiri kusaini mkataba wakati huu wa dirisha dogo, lakini alichokutana nacho kwa kocha wa sasa, Sead Ramovic, huenda hana hamu nacho. Gamondi alimpokea straika huyo kutoka Uganda na kujifua na mastaa wa timu hiyo ili…

Read More

Fadlu wala hana haraka | Mwanaspoti

SIMBA jana jioni imepata ushindi wa mabao 5-2 ugenini dhidi ya Kagera Sugar, huku Ellie Mpanzu akianza kwa mara ya kwanza, lakini mashabiki wa timu hiyo wanaona kama bado kikosi hicho kina haja ya kushusha mashine nyingine mpya ili utamu uzidi kukolea zaidi. Hata hivyo kwa kocha wa timu hiyo, Fadlu David hesabu zake zipo…

Read More

NAIBU WAZIRI LONDO AWATAKA WATUMISHI WANAOTOA HUDUMA MIPAKANI KUFANYA KAZI KWA BIDII WELEDI NA UADILIFU

Naibu Waziri, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki, Mhe. DENNIS L. LONDO (Mb.) amewataka watumishi wanaotoa huduma mipakani kufanya kazi kwa bidi, weledi na uadilifu.  Mhe. Londo ametoa rai hiyo alipokuwa akiongea na watumishi wanaotoa huduma katika Kituo cha Utoaji Huduma kwa Pamoja cha Holili/Taveta, Wilayani…

Read More

Watatu wajeruhiwa kwa mapanga | Mwananchi

Dodoma. Watu watatu wamejeruhiwa kwa kukatwa kwa mapanga katika Mtaa wa Msangalalee Magharibi, Kata ya Dodoma Makulu na kikundi cha uhalifu cha watoto wenye umri chini ya miaka 18, baada ya kuwanyima fedha walizoomba. Matukio hayo yametokea kwa siku tatu mfululizo kuanzia Desemba 12 hadi 14, 2024 kati ya saa 2:00 usiku hadi saa 3:30…

Read More

Wazazi watakiwa kuwalinda watoto kipindi cha likizo na sikukuu

Mwenyekiti wa Chipkizi Chama Cha Mapinduzi (CCM)Mkoa wa Morogoro Jeremia Kisena Mabuba amewataka wazazi na walezi kuwalinda watoto na vitendo vya ukatili hasa kipindi hiki Cha likizo na sikukuu. Mabuba amesema kuwa ataungana na Serikali ya awamu ya sita katika kuhakikisha wanakabiliana na vitendo vya kikatili wanavyofanyiwa watoto hasa wakiume ambao wanaonekana wamesahaulika katika jamii…

Read More

Watawala wapya Syria wateua waziri wao wa mambo ya nje – DW – 21.12.2024

“Kamandi kuu inatangaza uteuzi wa Bw. Assaad Hassan al-Shibani kuwa waziri wa mambo ya nje katika serikali mpya ya Syria,” ilissema taarifa.  “Alijiunga na mapinduzi ya Syria mwaka 2011… na alishiriki katika kuanzisha Serikali ya Uokoaji,” yalisema maandishi yaliyochapishwa kwenye Telegram.  Serikali ya Uokoaji, ambayo ina wizara, idara, mamlaka za kisheria na usalama, ilianzishwa mwaka…

Read More