Wananchi walia kukamilika kwa stendi mpya ya mabasi Songea

Songea. Stendi ya mabasi inayojengwa katika Kijiji cha Lundusi kilichopo Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma,  inatarajiwa kumaliza adha ya usafiri kwa wananchi walishio vijijini wanaolazimika kutumia gharama kubwa kufuata huduma ya usafiri mjini Songea, zaidi ya kilomita 60. Kutokana na umuhimu wake, wananchi wameitaka kamati ya ujenzi wa mradi wa stendi hiyo kukamilisha mradi huo…

Read More

Profesa Lwoga azikwa, wazungumzia alama alizoziacha

Morogoro. Mamia ya waombolezaji wamejitokeza kumpumzisha aliyekuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (Sua), Profesa Anselm Lwoga ambaye amezikwa leo Desemba 21, 2024 huku akitajwa kuacha urithi wa tafiti na machapisho mengi. Profesa Lwoga aliyezaliwa mwaka 1946, alifariki wiki iliyopita na amezikwa leo katika makaburi ya Kola yaliyopo Manispaa ya Morogoro na…

Read More

Mbowe amkazia Tundu Lissu | Mwananchi

Dar es Salaam. Hatimaye Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ametangaza rasmi kuitetea nafasi hiyo aliyoitumikia kwa miaka 20, akisema anawania miaka mitano kwa mara ya mwisho na kufunga rasmi mjadala kuwa huenda angeamua kuachana na suala hilo. Kwa hatua hiyo, Mbowe sasa atachuana na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho (Bara), Tundu Lissu na kada wa…

Read More

Watumishi wanaotoa huduma mpakani watakiwa kufanya kazi kwa bidii na weledi

Naibu Waziri, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki, Mhe. DENNIS L. LONDO (Mb.) amewataka watumishi wanaotoa huduma mipakani kufanya kazi kwa bidi, weledi na uadilifu. Mhe. Londo ametoa rai hiyo alipokuwa akiongea na watumishi wanaotoa huduma katika Kituo cha Utoaji Huduma kwa Pamoja cha Holili/Taveta, Wilayani…

Read More

Mikesha hatari kwa afya za watoto

Dar es Salaam. Mtoto anapaswa kulala katika mazingira mazuri na salama ili kusaidia ukuaji wake wa kimwili, kiakili na kihisia. Kutokana na umuhimu wa usingizi kwa mtoto, anapaswa kulala eneo lenye joto la wastani mahali pasipo na mwanga mkali au kelele. Sheria ya Mtoto ya mwaka 2009 imeweka msingi wa kisheria kwa ajili ya ulinzi,…

Read More

Tanesco lawamani katikakatika ya umeme  Toangoma

Dar es Salaam. Wakati wakazi wa Toangoma, Dar es Salaam wakilalamikia kukatika umeme mara kwa mara, Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limesema uchakavu wa miundombinu ni sababu ya hali hiyo. Kwa mujibu wa Tanesco, juhudi zinaendelea kufanyika kuhakikisha maboresho yanafanyika kutatua changamoto hiyo. Maelezo ya Tanesco yanatokana na malalamiko ya wananchi wa eneo hilo, waliosema…

Read More