
Mwenyekiti wa kitongoji wa Chadema atimkia CCM
Rombo. Aliyekuwa Mwenyekiti wa Kitongoji cha Kitowo kilichopo katika Kijiji cha Mengwe Juu, Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Agustina Lyakurwa amejiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM) baada ya kukaa kwenye nafasi hiyo kwa takribani siku 25 baada ya kuchaguliwa Novemba 27, 2024. Hicho ndicho kitongoji pekee kilichochukuliwa na…