Mwenyekiti wa kitongoji wa Chadema atimkia CCM

Rombo. Aliyekuwa Mwenyekiti wa Kitongoji cha Kitowo kilichopo katika Kijiji cha Mengwe Juu, Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Agustina Lyakurwa amejiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM) baada ya kukaa kwenye nafasi hiyo kwa takribani siku 25 baada ya kuchaguliwa Novemba 27, 2024. Hicho ndicho kitongoji pekee kilichochukuliwa na…

Read More

Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linawashikilia machinga 56 kwa kufanya fujo na kugoma kuhamishwa

Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linawashikilia watuhumiwa 56 ambao ni wafanyabiashara ndogondogo (Machinga) kwa tuhuma za kufanya fujo katika barabara ya Masika -Msamvu kwa madai ya kutokubali kuhama katika eneo hilo na kuhamia katika eneo lingine ambalo limetengwa na Serikali. Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi Morogoro inasema watuhumiwa hao wamekamatwa baada ya kufanya…

Read More

Jogoo Veterean yafurahia ujio wa Meridianbet

  Kampuni ya ubashiri Tanzania Meridianbet katika suala zima la kuendeleza sekta ya michezo na imeungana na Timu ya Jogoo Veteran iliyopo Mbezi Juu na kutoa jezi mpya kwa wachezaji wa timu hiyo, ili kuunga mkono juhudi za kukuza michezo katika jamii. Timu ya Jogoo Veteran, ambayo inajivunia wachezaji wao wenye uwezo na kujituma kwelikweli,…

Read More

Wasanii watakiwa kutumia sanaa kufikisha elimu ya namna ya kujikinga na magonjwa yasiyo ya kuambukiza

Wasanii wametakiwa kutumia sanaa kufikisha elimu ya namna ya kujikinga na magonjwa yasiyo ya kuambukiza yakiwemo ya moyo katika jamii inayowazunguka. Rai hiyo imetolewa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge wakati wa kambi maalumu ya siku mbili ya tiba mkoba ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan inayofanyika…

Read More

Mawakala wapaisha tiketi safari za mikoani

Dar es Salaam. Licha ya mabasi kuwapo, upatikanaji wa tiketi umekuwa na changamoto katika Kituo cha Mabasi cha Magufuli, jijini Dar es Salaam, mawakala wakizihodhi na kuuza kwa bei ya juu. Kutokana na changamoto hiyo inayosababisha baadhi ya abiria kukata tamaa, wamejikuta wakilazimika kukubaliana na mawakala wa mabasi wanaolangua tiketi. Amina Juma, mfanyabiashara aliyekuwa akielekea…

Read More

CCM IRINGA YAMPA TUZO MAALUM MNEC SALIM ASAS

💥Ni kutokana na mchango wake Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Iringa wamempatia Tuzo Maalum Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (MNEC) Salim Abri Asas wakitambua mchango wake hasa katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Tuzo hiyo imekabidhiwa kwake na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa, Comrade Daud Yassin…

Read More

Beki wa Coastal anukia jeshini

BAADA ya kuwa katika Tano Bora ya timu zilizoruhusu mabao machache duru la kwanza JKT Tanzania inaendelea kujiimarisha eneo la ulinzi imetuma ofa Coastal Union ikimhitaji Miraji Abdallah. JKT ipo nafasi ya nane katika msimamo baada ya kucheza mechi 14, ikishinda nne, sare saba na kufungwa tatu imeruhusu nyavu zake kutikishwa mara nane nyuma ya…

Read More

Zaidi ya wanafunzi 200 wajengewa uwezo kwa vitendo

Jitihada Za Serikali ya awamu ya Sita ni kuhakikisha sekta ya elimu inaboreshwa na kutolewa kwa nadharia na Vitendo zaidi ili kuwarahisishia Wahitimu kuweza kujiajiri pindi wakimaliza masomo yao. Zaidi ya Wanafunzi 200 wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya kutokea Ndaki ya usanifu Majengo na Teknolojia ya Majenzi (coACT) wamefanya mafunzo ya Usanifu…

Read More

Ujerumani kuimarisha ulinzi baada ya shambulio la Magdeburg – DW – 21.12.2024

Katika mji mkuu, Berlin, wizara ya mambo ya ndani ya jimbo hilo imesema polisi wataongeza uwepo wao katika soko la Krismasi la mji huo mkuu kama hatua ya tahadhari. Majimbo mengine, yakiwemo Hesse, Bremen, Lower Saxony, Rhineland-Palatinate na Schleswig-Holstein yameeleza pia kuimarisha hatua za kiusalama. Jiji la mashariki la Leipzig limetangaza kuwa sherehe za gwaride…

Read More