
Serikali yapata hasara ya Sh79 bilioni bunifu za vijana
Dar es Salaam. Katika kuhakikisha Serikali inainua vijana kupitia bunifu zenye tija, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete amekiri Serikali kuingia hasara ya Sh79 bilioni zilizotolewa kusaidia bunifu za vijana nchini. Amesema hasara hiyo imesababishwa na vijana kuchukua fedha ili kuwekeza kwenye bunifu zao na baadaye…