Ardhi ya Wahamiaji Kufukuza Maelfu ya Wakimbizi na Wanaotafuta Hifadhi – Masuala ya Ulimwenguni

Credit: Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Wakimbizi (UNOHCR) na Thalif Deen (umoja wa mataifa) Ijumaa, Desemba 20, 2024 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Desemba 20 (IPS) – Marekani, ambayo kwa muda mrefu imekuwa ikielezwa kuwa nchi iliyojengwa kwa kiasi kikubwa na wahamiaji, inapanga kuwabana wahamiaji, wakimbizi na waomba hifadhi wanaoingia…

Read More

Kansela Scholz awasili Magdeburg, idadi ya vifo yaongezeka – DW – 21.12.2024

Alipoutembelea mji huo wa katikati mwa Ujerumani wa Magdeburg, Kansela Olaf Scholz amelaani shambulio hilo aliloliita kuwa baya katika soko la Krismasi lililosababisha vifo vya watu watano na kuwajeruhi wengine karibu 200. Scholz amesema: “Hakuna mahali pa amani na furaha zaidi kuliko soko la Krismasi. Ni kitendo cha kutisha kuwadhuru na kuua watu wengi kwa ukatili katika eneo kama hili.”…

Read More

Mnyukano Wenje, Lissu washika kasi

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria, Ezekiah Wenje amekanusha tuhuma za kushiriki kuwahonga wajumbe wa kamati kuu ya chama hicho, akijibu hoja iliyotolewa na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Bara, Tundu Lissu, aliyemtaja kuwa ndiye alimpeleka mtu kwake kumhonga fedha. Lissu aliibua tuhuma hizo Mei, 2024 katika mahojiano yaliyorushwa kwenye mitandao ya…

Read More

Nane wajeruhiwa ajali ya moto wakiangalia mechi ya Yanga

Mbozi. Watu wanane wamejeruhiwa katika ajali ya moto uliotokea katika duka la kuhifadhia na kuuzia vinywaji vya jumla na rejareja,  baada ya duka hilo kuwaka moto unaodaiwa kusababishwa na mafuta ya petroli yaliyokuwa yamehifadhiwa ndani. Majeruhi hao waliolazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Mbozi iliyopo Mkoa wa Songwe, walikuwa wakiangalia mpira katika duka hilo, lakini…

Read More

Cabaye ashtukia kitu KenGold | Mwanaspoti

KIUNGO wa KenGold, Abdallah Masoud ‘Cabaye’, ameelezea kuwa wakati umefika kwa wachezaji wa timu hiyo kujitathmini na kubadilisha mwenendo mbaya katika Ligi Kuu Bara, ambayo wanaburuza mkia. Hii ni baada ya KenGold kushinda mechi moja tu, kutoa sare tatu, na kupoteza kumi na moja katika michezo 15 ya mzunguko wa kwanza. Masoud ‘Cabaye’, alisema kuwa…

Read More

Simba kwa penalti, acha kabisa!

SIMBA ipo uwanjani jioni ya leo mjini Bukoba kuvaana na Kagera Sugar katika mfululizo wa mechi za Ligi Kuu Bara, huku rekodi zikionyesha timu hiyo pamoja na nyingine tatu za Namungo, Coastal Union na Tabora United ndizo vinara wa kupata penalti na kuzitumia kuwapa matokeo chanya. Lakini timu hizo nne zikifunika kwa kupata penalti nyingi,…

Read More

Aliyekuwa CEO Simba ageuka lulu Rwanda

Aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Simba, Francois Regis, ameteuliwa kuwa katibu mkuu wa wizara ya michezo Rwanda. Regis ambaye alidumu Simba katika muda usiozidi miezi miwili, uteuzi wake wa nafasi hiyo ya ukatibu mkuu wa wizara ya michezo umetangazwa jana na waziri wa michezo wa nchi hiyo Edouard Ngirente na umefanywa na Rais wa Rwanda, Paul…

Read More

Mnyukano Wenje, Lissu | Mwananchi

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria, Ezekiah Wenje amepinga tuhuma za kushiriki kuwahonga wajumbe wa kamati kuu ya chama hicho, akijibu hoja iliyotolewa na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Bara, Tundu Lissu, aliyemtaja kuwa ndiye alimpeleka mtu kwake kumhonga fedha. Lissu aliibua tuhuma hizo Mei, 2024 alipohojiwa katika kituo cha televisheni akieleza…

Read More

Mdude: Mbowe amuachie Tundu Lissu uenyekiti Chadema

Mbeya. Mwanaharakati na kada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mdude Nyagali ameeleza siku 15 za mateso akiwa Polisi, huku akimuomba Rais Samia Suluhu Hassan kuteua Tume ya kijaji ya kuchunguza vitendo vya utekeji na kupata mwarobaini wake. Pia amesema kutokana na demokrasia ya nchi ilivyo kwa sasa anaona mwenye kuwafikisha Chadema katika nchi…

Read More