Kilimanjaro yatumia Sh17 bilioni maandalizi ya masomo Januari 2025

Moshi. Wakati wanafunzi 30,901 wakitarajiwa kujiunga kidato cha kwanza Januari 2025, Serikali ya Mkoa wa Kilimanjaro imesema maandalizi ya kuwapokea wanafunzi hao yamekamilika,  huku zaidi ya Sh17 bilioni zikitumika kuboresha miundombinu ya madarasa, mabweni na ujenzi wa shule mpya 14. Akizungumza na Mwananchi, Katibu Tawala wa Mkoa huo, Yusuf Nzowa amesema hakuna changamoto yoyote ya…

Read More

Polisi aliyeua kwa AK-47 afungwa kifungo cha nje

Tarime. Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo Musoma imemhukumu kifungo cha nje cha miezi 12 aliyekuwa Konstebo wa Polisi, Kululutela Nyakai kwa kumuua kwa risasi Ng’ondi Masiaga, aliyetuhumiwa kufanya biashara ya magendo. Masiaga aliuawa kwa kupigwa risasi na bunduki ya kivita AK-47 Machi 31, 2023 katika kijiji cha Kubiterere wilayani Tarime wakati Nyakai na mwenzake…

Read More

TASAF YAJENGA STENDI YA MABASI LUNDUSI KUMALIZA CHANGAMOTO YA USAFIRI KWA WANANCHI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Songea MRADI wa Ujenzi wa Stendi ya mabasi unaotekelezwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii(TASAF) katika Kijiji cha Lundusi wilayani Songea Mkoani Ruvuma umefika asilimia 78 huku wananchi wakieeleza kuwa Ujenzi huo itakapokamilika utaondoa changamoto ya usafiri pamoja na kuimarisha wa wananchi. Kwa mujibu wa TASAF ni kwamba Matarajio Mradi huo inatakiwa…

Read More

UN Yajitolea Kuisaidia Syria katika Mpito wa Kisiasa, Kurekebisha Usaidizi wa Kibinadamu – Masuala ya Ulimwenguni

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres akitoa maelezo kwa waandishi wa habari kuhusu hali ya Syria. Credit: UN Photo/Eskinder-Debebe na Naureen Hossain (umoja wa mataifa) Ijumaa, Desemba 20, 2024 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Desemba 20 (IPS) – Katika kumpindua Bashar al-Assad na utawala wake, Syria inafikia mchakato wa kuthibitisha tena uhuru…

Read More

TAWJA :KESI ZA UBAKAJI,ULAWITI ZINAONGEZA

Mwandishi Wetu CHAMA Cha Majaji Wanawake (TAWJA) kimesema kesi za ubakaji na ulawiti zinaongezeka kwa kasi katika mikoa yote nchini na kwamba hali hiyo imekuwa tishio katika jamii. Akizungumza jana Desemba 19,2024 wakati wa kuelekea maazimisho ya miaka 25 ya TAWJA,Mwenyekiti wa chama hicho ambaye pia ni Jaji wa Rufani Barke Sehel amesema miongoni mwa…

Read More

MAJALIWA AIAGIZA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII KUWEKA VIGEZO VYA WAZI VYA UTEUZI NA UPOKEAJI WA TUZO ZA UHIFADHI

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Maliasili na Utalii kuhakikisha inaweka vigezo vya wazi na vinavyojulikana vya uteuzi na upokeaji wa tuzo za uhifadhi na Utalii. Vigezo hivyo, pamoja na mambo mengine viwe vinavyozingatia ubora katika uhifadhi wa mazingira, huduma za utalii, usimamizi wa hifadhi za Wanyama na uendelezaji wa maeneo ya utalii. Maagizo…

Read More