Siri Wachaga kwenda ‘kuhesabiwa’ mwisho wa mwaka

Moshi. Unapoutaja Mkoa wa Kilimanjaro, wengi watauwaza Mlima Kilimanjaro ambao ni mrefu barani Afrika, uliobeba jina la Mkoa huo. Hata hivyo,  yapo mengi ya kujionea, mtu afikapo katika mkoa huo,ambao unatajwa kuwa na maendeleo katika nyanja mbalimbali. Mkoa huo wenye mandhari nzuri ya kuvutia, watu wenye ukarimu na utajiri wa utamaduni wa kipekee, licha ya…

Read More

Gari laparamia watu soko la Krismasi Magdeburg – DW – 20.12.2024

Gari liliuparamia umati wa watu katika soko la Krismasikatika mji wa Magdeburg, katikati mwa Ujerumani, Ijumaa usiku. Watu wasiopungua wawili wameuawa, akiwemo mtoto mdogo, kulingana na ripoti za vyombo vya habari vya Ujerumani. Msemaji wa jiji, Michael Reif, alisema kuwa “watu wengi wamejeruhiwa.” Polisi wamemkamata dereva wa gari hilo, kulingana na vyanzo vya serikali ya mji…

Read More

Wakongo waharibu mpango Yanga, watia mkono

WAKATI Yanga ikiwa na mpango wa kumsajili beki wa kati kutoka Zanzibar, ghafla mabosi wa AS Vita Club ya DR Congo wameibuka na mkakati wa kuhakikisha wanainasa saini ya nyota huyo ili akakiongezee nguvu kikosi hicho. Yanga ilishaonyesha nia ya kuihitaji saini ya nyota huyo ambaye ni panga pangua ndani ya Fountain baada ya uwezekano…

Read More

Simba yafuata fundi Uganda | Mwanaspoti

KIKOSI cha Simba kipo mjini Bukoba, mkoani Kagera kumalizana na wenyeji wao, Kagera Sugar katika mechi ya Ligi Kuu Bara, lakini unaambiwa mabosi wa klabu hiyo wanapiga hesabu kali ya kuimarisha kikosi hicho kama mapendekezo ya kocha Fadlu David na sasa imevuka mpaka hadi Uganda kufuata fundi wa mpira. Ndio, baaada ya kumnasa Ellie Mpanzu…

Read More

Hitaji la Haraka la Utambulisho wa Kisheria – Masuala ya Ulimwenguni

IOM inakadiria kuwa watu bilioni moja wanaishi bila utambulisho wa kisheria, hivyo kuwazuia kupata huduma muhimu na kuwazuia uhamaji. Mkopo: Shutterstock na Baher Kamal (madrid) Ijumaa, Desemba 20, 2024 Inter Press Service MADRID, Desemba 20 (IPS) – Pengine wanademografia wangefikiria kubuni mfumo mpya wa uainishaji ili kujitenga na makadirio yao ya jumla ya watu duniani—bilioni…

Read More

Gaza, Ukraine, sera ya ndani vyatia kiwingu urathi wa Biden – DW – 20.12.2024

Akiwa amesalia na mwezi mmoja tu madarakani, Biden anakabiliana na orodha ndefu ya hatua za sera za ndani na njeanazotaka kukamilisha kabla ya Rais mteule Donald Trump kuingia ofisini, ambapo inatarajiwa kuwa Trump atajaribu kubatilisha mafanikio mengi ya Biden. Miongoni mwa vipaumbele vya Biden ni kushinikiza usitishaji wa mapigano Gaza, kuachiliwa kwa mateka wa Marekani…

Read More