
PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO DISEMBA 21,2024
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO DISEMBA 21,2024 About the author
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO DISEMBA 21,2024 About the author
Katika ujumbe wake ulioandikwa kwenye sentensi moja fupi, Elon Musk amesema, ”Ni AfD pekee inayoweza kuiokoa Ujerumani”. Hii si mara ya kwanza kwa tajiri huyo namba moja duniani kuunga mkono vyama vyenye sera za kupinga wahamiaji barani Ulaya. Mwezi uliopita alipigia kampeni kufukuzwa kwa jaji wa Italia, aliyetilia shaka sera ya serikali ya nchi hiyo…
Msichana mdogo akijaribu kuvuka barabara iliyofurika nchini Bangladesh kufuatia kimbunga Remal. Bangladesh ni mojawapo ya mataifa yanayoathiriwa zaidi na hali ya hewa duniani na inatarajiwa kuathiriwa pakubwa na ongezeko la joto duniani. Credit: UNICEF/Farhana Satu na Oritro Karim (umoja wa mataifa) Ijumaa, Desemba 20, 2024 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Desemba 20 (IPS) –…
Chuo Kikuu Mzumbe Ndaki ya Dar es Salaam kimetoa mafunzo maalum kwa watunza Kumbukumbu na Maafisa Rasilimali Watu/Utawala kuhusu mfumo wa Ofisi Mtandao kwa watumishi wa umma wenye lengo la kuhakikisha wanazingatia Sheria, kanuni, taratibu na miongozo mbalimbali inayotolewa na Serikali ili kurahisisha utendaji kazi na kuepuka makosa ya uvujaji wa siri na taarifa kwa…
Dodoma. Mwenyekiti wa Kitongoji cha Ilingo, Kijiji cha Msagali wilayani Mpwapwa, Alex Chikumbi amesimulia ilivyokuwa wakati wa tukio la mauaji ya askari polisi wawili na mtuhumiwa wa unyang’anyi, Atanasio Malenda. Tukio hilo lilitokea Desemba 18, 2024, wakati Koplo Jairo Kalanda na Konstebo Alfred John walipokwenda kumkamata mtuhumiwa huyo. Chikumbi amesema askari walikuwa wamejipanga kumkamata Malenda…
Dar es Salaam. Baraza la Habari Tanzania (MCT) limeahirisha ufunguzi wa dirisha la Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari Tanzania (Ejat) mpaka Aprili, 2025. Dirisha hilo ambalo hufunguliwa kati ya Novemba na Desemba kila mwaka, limeahirishwa, ili kufanya utafiti wa namna bora za kupata washindi wa tuzo hizo, tofauti na mfumo ulizoeleka. MCT imekuwa ikitoa tuzo…
Dar es Salaam. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imejiwekea lengo la kukusanya Sh15.27 trilioni katika kipindi cha miezi sita kuanzia Januari hadi Juni 2025. Mbali na hilo mamlaka hiyo imejiwekea lengo la kukusanya Sh3.46 trilioni katika mwezi wa Desemba kiwango ambacho hakijawahi kukusanywa tangu kuanzishwa kwa mamlaka hiyo. Hayo yameelezwa leo jijini Dar es Salaam…
Rukwa. Mkuu wa Wilaya ya Nkasi, Peter Lijualikali amesema taarifa zinazosambaa mitandaoni kuwa amehusika kwenye vurugu zilizotokana na marudio ya uchaguzi wa serikali za mitaa si za kweli, akiwataka wanaozisambaza kuwasilisha ushahidi. Taarifa hizo zimedai kuwa baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa katika Kijiji cha Ntalamila wilayani humo mkoani Rukwa kushindwa kufanyika Novemba 27…
Arusha. Wakati kesho Desemba 21, 2024 Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akitarajiwa kutegua kitendawili cha kutetea nafasi hiyo au la, viongozi waandamizi wa zamani wa chama wanashauri ajiweke kando. Wanashauri Mbowe kutumia busara kwa kusikiliza ushauri wa familia yake, iliyomtaka apumzike uongozi. “Nimekuwa na wakati mgumu na familia yangu. Hakuna kipindi familia yangu imenikalia mguu…
KAMPUNI ya Airtel imewaomba wateja na mawakala wanaotumia mtandao huo kuendelea kuchangamkia promosheni maalum ya Airtel Santa Mizawadi ili waweze kujishindia zawadi mbalimbali ikiwemo pesa taslimu. Mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano, Jackson Mmbando akizugumza na waandishi wa habari Jijini Dar es salaam leo Desemba 20, 2024 amesema promesheni hiyo bado inaendelea na droo ya kwanza…