DAIMA CCM ITAZINGATIA WANANCHI: BALOZI NCHIMBI

_Asema huo ni msingi wa Watanzania kuendelea kuiamini CCM_ _Atoa maelekezo mafunzo viongozi Serikali za Mitaa nchi nzima_ _Apongeza Nzega Mjini utekekezaji wa Ilani ya Uchaguzi_ Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amesema siku zote CCM itazingatia maslahi na matakwa ya watu katika kuwatumikia Watanzania. Balozi Nchimbi amesisitiza kuwa…

Read More

Vigogo wa dawa za kulevya kubanwa kila kona

Dar es Salaam. Ni kibano kila mahali. Ndiyo inaweza kuwa tafsiri ya kilichofanywa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) baada ya kuingia makubaliano na Shirika la Posta Tanzania (TPC) kudhibiti usafirishaji wa dawa hizo kupitia vifurushi. Hatua hiyo imefikiwa kufuatia kuwepo kwa wimbi la watu wanaosafirisha dawa za kulevya kupitia…

Read More

DKT. NCHEMBA ATETA NA SAUDI FUND SAUDI ARABIA

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), akiagana na Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo wa Saudi Arabia (Saudi Fund for Development-SFD), Bw. Sultan Al-Marshad, baada ya kufanya mazungumzo kuhusu ushirikiano wa kiuchumi na kijamii kati ya Mfuko huo na Tanzania, akiwa na Mawaziri wenzake wa kisekta, Waziri wa Viwanda na Biashara,…

Read More

Usiyoyajua kuhusu ya msitu wa Galanos Tanga

Tanga. Msitu wa Galanos umebeba siri nyingi. Umekuwa ni msitu wa giza ambao unaficha maovu ya watu na kuibua hofu kwa wananchi wanaouzunga. Matukio ya mauaji yamekuwa yakifanyika ndani ya msitu huo na wakati mwingine miili ya watu au wanyama waliouawa ikitupwa humo, jambo ambalo limekuwa likiongeza hofu kwa wakazi wa maeneo ya jirani. Msitu…

Read More

Ahadi yatimizwa, wakazi Hanang wakabidhiwa nyumba

Hanang. “Baada ya dhiki faraja.” Methali hii inawiana na hali waliyopitia wakazi wa mji mji mdogo wa Katesh, wilayani Hanang, ambao Desemba 3, 2023 walikumbwa na maafa yaliyotokana na maporomoko ya tope. Baada ya mwaka mmoja, leo Desemba 20, 2024, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amekabidhi nyumba 109 ambapo watu 745 wataishi, ikiwa ni utekelezaji wa…

Read More

TRA yawashukuru walipa kodi wa Mbinga

    Mkurugenzi wa Elimu kwa Mlipakodi na Mawasiliano wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Richard Kayombo amesema kuwa ulipaji wa kodi ndio maendeleo ya Taifa lolote duniani. Kayombo aliysema hayo katika mkutano na Wafanyabiashara wa Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma uliofanyika  katika ukumbi wa FDC. Kayombo amewashukuru wafanyabiashara hao kwa kuendelea  kulipa kodi zao…

Read More

Profesa Janabi aelekeza vipimo vitano mgonjwa afikapo hospitali

Pwani. Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Profesa Mohamed Janabi amesisitiza mambo matano kwa watoa huduma za afya ngazi ya jamii (CHWs), pindi wanawapopokea wagonjwa, ikiwamo kuwapima kiwango cha shinikizo la damu. Mambo mengine ni kuwapima kiwango cha mafuta mwilini, upana wa kiuno, akizingatia ukubwa unaoshauriwa sentimita 35 kwa mwanamke na 40 kwa mwanaume,…

Read More