Dk Nchimbi aitaka CCM Mkuranga kumwondoa mgombea uenyekiti aliyepigiwa kura ya ‘Hapana’

Tabora. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi ameagiza kuondolewa kwa jina la kada wa chama hicho aliyepigiwa kura nyingi za ‘Hapana’ kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, lakini ameteuliwa tena kugombea kwenye uchaguzi wa marudio unaotarajiwa kufanyika hivi karibuni. Kada huyo aligombea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa Novemba 27, 2024…

Read More

Njombe kuwatangaza hadharani wauaji, wabakaji

Njombe. Serikali ya Mkoa wa Njombe imesema haitafumbia macho matukio ya mauaji na ukatili wa kijinsia yanayofanyika mkoani humo ambapo pamoja na hatua za kisheria, majina ya wahusika wa matukio hayo yatatangazwa hadharani ili jamii iwafahamu. Hayo yamebainishwa leo Desemba 20, 2024 na Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka kwenye mkutano maalumu wa kujadili…

Read More

Ni Devotha Minja Kanda ya Kati, Welwel Kaskazini Chadema

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimekamilisha chaguzi za Kanda za Kaskazini na Kati na kupata viongozi wapya watakaoongoza kanda hizo kwa miaka mitano ijayo. Katika uchaguzi uliofanyika Sanawari, Arusha, Desemba 19, 2024, Samwel Welwel alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini, akipata kura 51 dhidi ya Michael Kilawila aliyepata kura 48….

Read More

Okoyo azigonganisha timu tatu Ligi Kuu Bara

WAKATI KMC ikiwa kwenye mpango wa kumsajili beki wa kushoto, Deusdedity Okoyo tangu mchezaji huyo aanze kufanya mazoezi na timu hiyo ni takribani siku 10 chini ya kocha Kally Ongala aliyehitaji kumuona kwanza, inaelezwa klabu za Mashujaa na Namungo nazo zinampigia hesabu kumnasa. Uongozi wa KMC ndio uliomtumia nauli, Okoyo ya kutoka kwao mkoani kwenda…

Read More

Dube aikosha Yanga, atabiriwa makubwa

MSHAMBULIAJI Prince Dube ameshaliamsha balaa baada ya kutupia kwa kasi tena akianza na hat trick kwenye ligi, hatua ambayo imekuwa faraja pia kwa mastaa wenzake ndani ya kikosi hicho wakisema jamaa atafunga sana. Wakizungumza kwa nyakati tofauti, nahodha msaidizi wa Yanga beki Dickson Job ameliambia Mwanaspoti kwamba kila mmoja ndani ya kikosi hicho alikuwa anasubiria…

Read More