Sita wa familia moja walivyonusurika ajalini

Shinyanga. Gari aina ya Toyota Harrier lililobeba watu sita wa familia moja limepinduka baada ya kuacha njia na kuingia kwenye mtaro. Ajali hiyo imetokea leo Desemba 20, 2024 eneo la Kizumbi katika Manispaa ya Shinyanga, saa 9 mchana. Mmoja ya waathirika wa ajali hiyo, Diana Willibard amesema gari hilo ilianza kupata shida wakiwa Tinde. “Tulikua…

Read More

The Cursed King mchezo mpya wa kasino Meridianbet

Kupitia Meridianbet utakutana na mchezo wa kasino ya mtandaoni unaoelezea kisa cha Farao aliyelaaniwa kwa matendo yake, unachopaswa kufanya ni kuwa mkali kwa kucheza vizuri ni njia sahihi kukupa ushindi mkubwa. Jisajili Meridianbet ufurahie mchezo huu. The Cursed King ni mchezo wa kasino ya mtandaoni yenye nguzo tano zna mistari 19 ya malipo. Ili kupata…

Read More

Pamba yamng’oa straika Mkenya | Mwanaspoti

PAMBA Jiji imepania hasa katika dirisha dogo la usajili, ikielezwa imemalizana na klabu ya Naspa Stars ya Zambia, Rally Bwalya, huku ikiwa hatua ya mwisho ya kumsajili mshambuliaji wa Shabana inayoshiriki Ligi Kuu nchini Kenya, Tegisi Mathew. Tuanze na Bwalya, imefikia makubaliano na Napsa Stars iliyopo Ligi Kuu Zambia, ili kupata huduma ya kiungo mshambuliaji…

Read More

Yannick Bangala avunja mkataba Azam

KIUNGO mkongwe Yannick Bangala amevunja mkataba na klabu ya Azam baada ya kupishana na kocha wake Rached Taoussi. Bangala ambaye aliichezea Yanga misimu miwili kabla ya kutimkia Azam msimu uliopita tangu atimkie kwa matajiri hao wa Chamazi hajawa na rekodi nzuri kulinganisha na timu aliyotokea. Katika misimu miwili aliyocheza Yanga alifanikiwa kufunga mabao matatu, huku…

Read More

Kwa Nini Ni Ngumu Sana Kubadilika? Maarifa kutoka kwa Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu ya 2024 kuhusu Chile – Masuala ya Ulimwenguni

Mazingira ya kisiasa na kisheria ya Chile yamezidi kugawanyika, na hivyo kusababisha mtafaruku unaozuia kupitishwa kwa mageuzi yanayohitajika sana. Credit: UNDP Maoni na Javier Bronfman (santiago, chile) Ijumaa, Desemba 20, 2024 Inter Press Service SANTIAGO, Chile, Desemba 20 (IPS) – Wakati nchi nyingi za kipato cha kati duniani, Chile inajikuta katika wakati mgumu. Nchi imepata…

Read More