2024 mwaka wa kizungumkuti ajali za barabarani

Dar es Salaam. Ajali za barabarani zimeendelea kuwa chanzo cha vifo vya Watanzania, hali inayozua maswali iwapo hatua zinazochukuliwa na mamlaka mbalimbali nchini kama zinakidhi katika kukabiliana na changamoto hii. Katika ajali hizi, mwendo kasi umebainika kuwa moja ya sababu, zingine zikitajwa kuwa ni matumizi ya vilevi, miundombinu zikiwamo barabara zenye mashimo, zisizo na alama…

Read More

Kagera Sugar yavizia watatu Simba, Yanga

UONGOZI wa Kagera Sugar umeziandikia barua Simba na Yanga kuwaomba wachezaji wao Ladack Chasambi, Salehe Karabaka na Denis Nkane kwa mkopo. Chasambi na Karabaka wote wanacheza Simba huku Nkane akikipiga Yanga na hana namba ya kudumi kikosi cha kwanza. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Kagera Sugar kimeliambia Mwanaspoti kuwa tayari wamefanya taratibu za kuziandikia…

Read More

RAIS SAMIA ATOA MAGARI 10 KAMPENI YA MSLAC

  Waziri wa Katiba na Sheria Dk. Damas Ndumbaro,akiwa ndani ya gari mara baada ya kuzindua  magari 10 kwa ajili ya Kampeni ya Msaada wa Kisheria  ya Mama Samia (MSLAC) ili kuongeza kasi ya utoaji huduma hiyo kwa watanzania hafla iliyofanyika leo Disemba 20,2024 jjijini Dodoma. Na Mwandishi Wetu, DODOMA RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa…

Read More

Tendwa alivyoiaga familia kabla ya kifo

Dar es Salaam. Wakati mwili wa John Tendwa aliyekuwa Msajili wa Vyama vya Siasa nchini ukizikwa leo Desemba 20, 2024, Padri wa Kanisa Katoliki Mbweni, Paulo Malewa ameeleza namna msajili huyo alivyoagana na familia yake saa chache kabla ya kifo chake. Amesema siku kadhaa kabla ya kifo, Tendwa, aliomba aitiwe padri. “Nilikwenda kuzungumza naye, alitaka…

Read More

Serikali yazindua nyumba 109 za waathirika Hanang

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Desemba 20, 2024 amezindua na kukabidhi nyumba 109 kwa waathirika wa maafa ya maporomoko ya tope yaliyotokea Desemba 03, 2023 Hanang, Mkoani Manyara. Nyumba hizo ambazo zimejengwa na Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kushirikiana na Shirika la Msalaba Mwekundu na Jumuiya ya…

Read More

Mchungaji aliyemuua mkewe afungwa jela miaka 12

Uganda. Mahakama Kuu ya Luweero nchini Uganda imemhukumu kifungo cha miaka 12 jela Mchungaji wa Kanisa la Anglikana, David Ssekibaala baada ya kukiri kumuua mkewe, Deborah Ssekibaala, miaka minne iliyopita. Hukumu hiyo imeweka tamati ya maswali yaliyokuwa yakiibuliwa kuhusu kifo cha Deborah kilichotokea usiku wa Novemba 9, 2020. Desemba 11, akiwa mbele ya Jaji wa…

Read More

Rais Mwinyi: Zanzibar ipo tayari kwa mashindano ya Chan 2025

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza Mapinduzi Dk, Hussein Ali Mwinyi amelihakikishia Shirikisho la Soka Barani Afrika ‘Caf’ kuwa Zanzibar ipo tayari na inajiandaa vema kufanikisha Mashindano ya ‘Chan’ yanayotarajiwa kufanyika Februari mwakani. Rais Dk.Mwinyi aliyasema hayo alipozungumza na Rais wa Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) Patrice Motsepe aliefika Ikulu Zanzibar jana 19…

Read More

NAIBU WAZIRI LONDO ATOA RAI KWA HALMASHAURI KUCHECHEMUA FURSA ZA BIASHARA MIPAKANI

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki, Mhe. Dennis L. Londo (Mb.) ameeleza kuwa Serikalil imejipanga kuzisimamia nakuziwezesha Halmashauri hususan za mipakani kuwa kiungo muhimu kwenye masuala ya mtangamano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki hasa kuwawezesha wananchi kunufaika na fursa za Mtangamano. Mhe. Londo ameyasema hayo…

Read More